Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,120
ikikupendeza ongezea zifike 10, tufunge mahesabu ya mwezi...Nikutumie elfu 10 saizi?


ikikupendeza ongezea zifike 10, tufunge mahesabu ya mwezi...Nikutumie elfu 10 saizi?


shemeji,kwa sisi wanaume kukaa na chenchi ni muhimu ndio mana kila mara tunatoa msimbazi ili chenji ibaki kwenye walletNa ninyi wanaume ni kwanini hata mkiwa na hela ndogo kwenye wallet ni lazima tu mtoe msimbazi kwanza..? Hasa mkiwa mnahudumiwa na mwanamke,
Mpaka mtu akikosa 'chenchi' mfano ndiyo wanaume wanajifanyaga 'hebu leta nikuangalizie', na unakuta ako nayo..!
Huwa mnataka kutuonyesha nini..??
Kama ni hilo tabasamu...ruksa kumiliki...usije kulimiss tena..Kuona tu hilo tabasamu hapo juu![]()




Shem nimeipenda hii mbinu..! Nakukujia halafu, maana nimekuwa kama katapeli walaqhi'..!shemeji,kwa sisi wanaume kukaa na chenchi ni muhimu ndio mana kila mara tunatoa msimbazi ili chenji ibaki kwenye wallet
kuna muda demu anakuomba buku mbili sa kama una ten ten utaona aibu kumwambia arudishe chenji so unajikuta umemuachia yote
ikikupendeza ongezea zifike 10, tufunge mahesabu ya mwezi...![]()
Ila kuna wengine wanaomba hadi 20,000! Kwako #Prince Kesh Jr😎Haina siri yoyote zaidi njaa tu kwa wanaoomba!Kwako #Bumija😊
Kuna mmoja majuzi ameikataa hiyo, anataķa 80,000. Nilighairi.Wanawake wa wapi hao?????
Huko wanaomba kuanzia 50,000!!
Kama ni hilo tabasamu...ruksa kumiliki...usije kulimiss tena..![]()

na nilikua nimeanza kukuon hivo shem wanguShem nimeipenda hii mbinu..! Nakukujia halafu, maana nimekuwa kama katapeli walaqhi'..!
Na ninyi wanaume ni kwanini hata mkiwa na hela ndogo kwenye wallet ni lazima tu mtoe msimbazi kwanza..? Hasa mkiwa mnahudumiwa na mwanamke,
Mpaka mtu akikosa 'chenchi' mfano ndiyo wanaume wanajifanyaga 'hebu leta nikuangalizie', na unakuta ako nayo..!
Huwa mnataka kutuonyesha nini..??




!Mkuu ,siku zote mwanamke huomba kiwango cha pesa kulingana na mwanaume ulivyo.Kwa binadamu kuomba au kutoa fedha ni jambo toka enzi. Na kuombwa hela kwa mwanaume ni ufahari, nina swali kwenu nyie baadhi ya wanawake
Hivi ni kwanini wengi hupenda kuomba au kuhitaji 10,000 mkiwa au akiwa na shida?
Hii pesa ina siri gani?