Haina siri yoyote zaidi njaa tu kwa wanaoomba!Kwako #Bumija😊Kwa binadamu kuomba au kutoa fedha ni jambo toka enzi. Na kuombwa hela kwa mwanaume ni ufahari, nina swali kwenu nyie baadhi ya wanawake
Hivi ni kwanini wengi hupenda kuomba au kuhitaji 10,000 mkiwa au akiwa na shida?
Hii pesa ina siri gani?
Huwa tunataka kuwaonyesha kuwa tuna hela!! nyie si mnapenda sana hela?!!😂😂Na ninyi wanaume ni kwanini hata mkiwa na hela ndogo kwenye wallet ni lazima tu mtoe msimbazi kwanza..? Hasa mkiwa mnahudumiwa na mwanamke,
Mpaka mtu akikosa 'chenchi' mfano ndiyo wanaume wanajifanyaga 'hebu leta nikuangalizie', na unakuta ako nayo..!
Huwa mnataka kutuonyesha nini..??
Na ninyi wanaume ni kwanini hata mkiwa na hela ndogo kwenye wallet ni lazima tu mtoe msimbazi kwanza..? Hasa mkiwa mnahudumiwa na mwanamke,
Mpaka mtu akikosa 'chenchi' mfano ndiyo wanaume wanajifanyaga 'hebu leta nikuangalizie', na unakuta ako nayo..!
Huwa mnataka kutuonyesha nini..??
Ushamba au nae anatafuta change naeNa ninyi wanaume ni kwanini hata mkiwa na hela ndogo kwenye wallet ni lazima tu mtoe msimbazi kwanza..? Hasa mkiwa mnahudumiwa na mwanamke,
Mpaka mtu akikosa 'chenchi' mfano ndiyo wanaume wanajifanyaga 'hebu leta nikuangalizie', na unakuta ako nayo..!
Huwa mnataka kutuonyesha nini..??


Hiyo avatar yako inatuchanganya bhana! Mimi nilijua na wewe ni mwenzao. Samahani lakini.Wengi wananiombaga 10,000
Neno "ako nayo"likitamkwa/kutumika namchukulia mtamkaji ni kama vile mdangaji fulani hivi au slei queen wa nguvu.Na ninyi wanaume ni kwanini hata mkiwa na hela ndogo kwenye wallet ni lazima tu mtoe msimbazi kwanza..? Hasa mkiwa mnahudumiwa na mwanamke,
Mpaka mtu akikosa 'chenchi' mfano ndiyo wanaume wanajifanyaga 'hebu leta nikuangalizie', na unakuta ako nayo..!
Huwa mnataka kutuonyesha nini..??
Wanawake wa wapi hao?Kwa binadamu kuomba au kutoa fedha ni jambo toka enzi. Na kuombwa hela kwa mwanaume ni ufahari, nina swali kwenu nyie baadhi ya wanawake
Hivi ni kwanini wengi hupenda kuomba au kuhitaji 10,000 mkiwa au akiwa na shida?
Hii pesa ina siri gani?
Ubishi tu...Na ninyi wanaume ni kwanini hata mkiwa na hela ndogo kwenye wallet ni lazima tu mtoe msimbazi kwanza..? Hasa mkiwa mnahudumiwa na mwanamke,
Mpaka mtu akikosa 'chenchi' mfano ndiyo wanaume wanajifanyaga 'hebu leta nikuangalizie', na unakuta ako nayo..!
Huwa mnataka kutuonyesha nini..??
Hela ndogo zina kauvivu kwenye kutuma(muamala)
10,000/= inamaliza vipengele mpaka na vya kesho kutwa...![]()

Hela ndogo zina kauvivu kwenye kutuma(muamala)
10,000/= inamaliza vipengele mpaka na vya kesho kutwa...![]()