Kwanini wanawake mnafanya hivi jamanii?

Kwanini wanawake mnafanya hivi jamanii?

we naye sijui ni mwanaume au mwanamke mbona mwandiko wako umekaa ki umbea mbea ivo

ngoja nikutukane moyoni tu..ila ujumbe umekufikia..stop dating boys tusije kuja kuona kibagia chako kwenye udaku
 
hata mwalimu alipokuwa anafundisha ulikuwa huelewi, itakuwa hii ya kujisomea peke yako..pole

Alafu hiyo choir ni ile ya kapteni komba au?mana naona kwaya nzima ni uzinzi tu mnafanya
 
ngoja nikutukane moyoni tu..ila ujumbe umekufikia..stop dating boys tusije kuja kuona kibagia chako kwenye udaku

boys wenyewe si ndo kina mpululu eti na wewe ujiweke kwenye kundi la wanaume kwa style hiyo mmh sizani labda uwe mfano tu wa mwanaume
 
Back
Top Bottom