Inatokea umekaa na mdada au mwanamke baada ya muda anabana miguu anakua anamanisha nini?
Hii imenitokea tukiwa tumekaa kwenye foleni tukisubiria huduma sasa bidada nikaona kama kalegea hata anavyoongea.
Ku regurate size tu mkuu sometime wanapanua . Hii nimejibu kulingama na uzoefu walionifanyia ila kama wewe kama kila mmoja hukubania. Uje mganga wako wa kutibu kibamia alijuOVA DOZI wanakuogopa