Mara nyingi kwenye uhusiano mwanamke akitangulia kumuacha mwanaume huwa hamna tatizo lakini sasa mwanaume amwache mwanamke ndo kunakua na kimbembe lazima lijengeke bifu na hata mkikutana no salamu as if hamjawahi kuwa wapenzi kwanini nyie wanawake hamtaki mpigwe chini.