Kwanini wanawake hawafuti namba za simu

Kwanini wanawake hawafuti namba za simu

Sometimes inakua co kwamba hajaifuta, nop....bali no inakua ipo kichwan akiamua kukutafut anaiwk kwa cm ...thats why
 
kwanini afute ? pesa hiyo utalipa hata ukitembea nae miaka mi tano iliyopita
 
Mi nitoe kwenye hilo kundi,,nafuta namba na simbelezi mtu,,na sipigi kamwe
 
Watoto utawajua tu.....mpenzi kabisa mamba isikae kichwani?players oyooo....MNA kazi
 
Sasa unamwambiaje mwanamke afute namba...hizo tabia za kike.. Mwananume unakausha tu unafanya yako....wao ndo wananunaga mara futa au wanakaa nazo...
 
Kwanza vitoto ndo vinasemaga futa namba...mwanaume hana muda wa kumwambia demu wake au mpenzi wake wa zamani .
 
Inshort kuachana sio bifu.Huwezi jua dunia duara eX wako anaweza kuja kuwa msaada kwako utapoanguka ukakosa wa kukuinua.
Haah nimecheka sana wengine tumeachwa na matarumbeta juu ilimradi kuvalidate uachie ngazi
 
Nikiasi kikubwa sana uzinzi unakuwa kwa kasi kutokana na hizi comment.
 
mpenzi wa zamani hatongozwi....hiyo wanafanya kama back-up.
 
Mamamamae zake demu langu nunda limefuta zangu mi ndo nimebaki za zake. Sasa sijui kama ni kweli limefuta au uongo

Halijafuta linajifanya limefuta tu

Yanasemaga yamefuta ili tujue kuwa wahama time na sisi kumbe namba ziko
 
Back
Top Bottom