Ndugu wanabodi kuna mwanamke nilikuwa na mtaka.Kila nikimumpigia Mara hapokei,Mara anajibu kwa kifupi, Mara asinijibu basi nikaamua kumpotezea.
Lakini huyu mwanamke ana mtoto najuzi akaja kwa nguvu zake zote na ananilaumu eti ohoo sikuwa nampenda kisa nilimfatilia kwa muda mfupi.
Hivi wanawake nyie mbona hamueleweki.kwanini mnakuwa hivo baadaye mnajutia wenyewe?.
Wanawake ni viumbe Wa ajabu kweli.
Sasa salamu nimetuma na nia nimetangaza mbona haujibu?au unataka nimwage mtama kwenye kuku wengi?Ndo tulivoumbwa......
Tusamehe
Acha utoto weweeee,ulikuwa unamtaka bila kumuhakikishia mfuko uko vizuri?,hebu ungeonesha uzito wa noti kwake kama angekujibu kwa ufupi,tafuta pesa wewee acha kukaa vijiweni kudanganyana.Ndugu wanabodi kuna mwanamke nilikuwa namtaka.Kila nikimpigia mara hapokei,mara anajibu kwa kifupi, mara asinijibu basi nikaamua kumpotezea.
Lakini huyu mwanamke ana mtoto na juzi akaja kwa nguvu zake zote na ananilaumu eti ohoo sikuwa nampenda kisa nilimfatilia kwa muda mfupi.
Hivi wanawake nyie mbona hamueleweki.kwanini mnakuwa hivo baadaye mnajutia wenyewe? Wanawake ni viumbe wa ajabu kweli.
Itakua umetangaza nia Jimbo lingineSasa salamu nimetuma na nia nimetangaza mbona haujibu?au unataka nimwage mtama kwenye kuku wengi?
Basi ngoja nikupe hapahapa au siyo,ningependa nikuone eneo lolote ulipendalo halafu tuanzie hapo au unaonaje?.Haya sasa taja VENUE nitakutumia dereva akuijie na akulete venue halafu kukurudisha mimi mwenyewe au unasemaje?Itakua umetangaza nia Jimbo lingine