Kwanini wanawake hawaelewekagi?

Nsema

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
275
Reaction score
482
Ndugu wanabodi kuna mwanamke nilikuwa namtaka.Kila nikimpigia mara hapokei,mara anajibu kwa kifupi, mara asinijibu basi nikaamua kumpotezea.

Lakini huyu mwanamke ana mtoto na juzi akaja kwa nguvu zake zote na ananilaumu eti ohoo sikuwa nampenda kisa nilimfatilia kwa muda mfupi.

Hivi wanawake nyie mbona hamueleweki.kwanini mnakuwa hivo baadaye mnajutia wenyewe? Wanawake ni viumbe wa ajabu kweli.
 


Angekukubali mapema si ajabu ungemwita maharagwe ya Mbeya. hata ninyi wanaume pia hamsomeki. ukitongoza mwanamke akikubali kwa haraka anaonekana yuko cheap and desperate, mdada akivuta muda kukukubali mnamuona msumbufu na anaringa.
 
Sasa baadaye MTU akitafuta kwingine kwanini ulalamike?
 
Na wewe ndio wa kuwaelimisha bila kukata tamaa.
 
Na hutaweza kuwaelewa kamwe coz aliewaumba ni mwingine,,,,,,, lazima ukubaliane na changamoto mbalimbali ndo ujisifu na sio kuwa muoga changamotO zikitokea we unahama na kurukia kwingne hapo si mwanaume rijali bali utakuw mvulana,.
 
Ukiona humuelewi mwanamke ujue sio wa kwako. Tafuta wa kuendana nae
 
Ulikuwa unajua leo?kama wanawake n viumbe wa ajabu km kinyonga?
 
Mkuu wataelewekaaje nalie waroga tayari amekwisha R.I.P
 
Alitaka hue msukule wake, hapo kapotezewa upande alioegemea anataka akutwike majukumu.

Mtasumbuana tu potezea
 
Wakieleweka tutasumbuliwa vichwa na nani? Kachumbari bila ndimu na pilipili haijakamilika. Au Economics bila Scarcity hakuna haja ya kuwepo uchumi
 
We mpaka leo hujawazoea? Ukimweleza shida yako na akikujibu kwa kifupi na hapokei cm ujue hapo ana mpenzi wake hataki bugudha yako. Siku Akitemwa atakuja kujileta kwako mwenyewe au atakubip ili umpigie. Na km hujampigia ndo hapo anakuona km na we pia ni mzinguzi.
 
Acha utoto weweeee,ulikuwa unamtaka bila kumuhakikishia mfuko uko vizuri?,hebu ungeonesha uzito wa noti kwake kama angekujibu kwa ufupi,tafuta pesa wewee acha kukaa vijiweni kudanganyana.
 
Utakua hukumdanganya, ukiwa mkweli imekula kwako. Hao ni figisu figusi mnaenda powa kbs. Uongo uongo, mbwembwe nn, mdanganye kama vile mtoto unavyomdanganya... Ntakununulia meli, Ntakununulia ndege, mwombe namba size ya viatu, skirt n.k halafu mwambie nimeagiza nje,... Utakula K mpk utachoka. Halafu dogo akikukumbushia mwambie ndege imepata pancha imeshindwa kutua imerudi Dubai imeenda kubadilishwa tairi. Utaendelea kupiga tuuu bila VAT. Hao ndo wanawake hawasikii ukweli kamwe.
 
Itakua umetangaza nia Jimbo lingine
Basi ngoja nikupe hapahapa au siyo,ningependa nikuone eneo lolote ulipendalo halafu tuanzie hapo au unaonaje?.Haya sasa taja VENUE nitakutumia dereva akuijie na akulete venue halafu kukurudisha mimi mwenyewe au unasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…