Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Nafanya kazi Karibu na kituo kikuu Cha police na ofisi kuu ya RPC
Kila ikifika Jumatatu napatwa na maumivu sana kwa ninayo yaona
Nawaona wanaume wenzangu wengi sana wamefungwa mashati,pingu ,wameshikwa tanganyika jeki wanapelekwa mahakamani
Nakaa nawaza sana kwa nini kila siku ni sie tu
Nimekaa hayo maeneo karibu na central kwa muda mrefu Ila sijawahi kuona mwanamke yoyote anatendewa vile
Je sisi wanaume ndo wenye makosa pekee hapa duniani hadi ifikie hatua ya kudhalilishwa na kuonekana hatuna utu wala thamani mbele ya jamii?
Nimetupwa selo za vituo kadhaa vya police hapa Tanzania kule nimekuta idadi kubwa ni wanaume wenzangu tunateseka usiku kucha.
Selo ya Wanawake wapo wachache tena wale wauza papuchi tu
Nikienda makanisani wengi ni wanawake kuliko wanaume je tatizo liko wapi? Hapa
Misikitini nashindwa kusema kwa sababu wanaume na Wanawake hatuchangamani
Sasa tuje huku upande wa pili inakuaje wenzetu wajae Makanisani halafu sie wanaume tujae selo za police na magereza mbalimbali.
Tujadili hapa Wananzengo wanaume tuna matatizo gani hadi wengi tuishie jela na wanawake wana matatizo gani hadi wengi waende Makanisani?
Kila ikifika Jumatatu napatwa na maumivu sana kwa ninayo yaona
Nawaona wanaume wenzangu wengi sana wamefungwa mashati,pingu ,wameshikwa tanganyika jeki wanapelekwa mahakamani
Nakaa nawaza sana kwa nini kila siku ni sie tu
Nimekaa hayo maeneo karibu na central kwa muda mrefu Ila sijawahi kuona mwanamke yoyote anatendewa vile
Je sisi wanaume ndo wenye makosa pekee hapa duniani hadi ifikie hatua ya kudhalilishwa na kuonekana hatuna utu wala thamani mbele ya jamii?
Nimetupwa selo za vituo kadhaa vya police hapa Tanzania kule nimekuta idadi kubwa ni wanaume wenzangu tunateseka usiku kucha.
Selo ya Wanawake wapo wachache tena wale wauza papuchi tu
Nikienda makanisani wengi ni wanawake kuliko wanaume je tatizo liko wapi? Hapa
Misikitini nashindwa kusema kwa sababu wanaume na Wanawake hatuchangamani
Sasa tuje huku upande wa pili inakuaje wenzetu wajae Makanisani halafu sie wanaume tujae selo za police na magereza mbalimbali.
Tujadili hapa Wananzengo wanaume tuna matatizo gani hadi wengi tuishie jela na wanawake wana matatizo gani hadi wengi waende Makanisani?