Kwanini wanaume wanakuwa wazito kujishusha?

Kwanini wanaume wanakuwa wazito kujishusha?

A love

Member
Joined
May 17, 2021
Posts
93
Reaction score
119
Jamani hivi ni kwa nini wanaume pindi wanapowakosea wanawake kwenye mahusiano wanakuwa wazito kujishusha? Hii inawaumiza sana wanawake kwani huwapenda wapenzi wao.

Mdada ikimtokea hali hii, je, ajiahushe, akaushe au afanye nini?

Ushauri wenu wana JF.
 
Tukijishusha inakuwa rahisi kutupanda kichwani, mkitupanda kichwani inakuwa tafrani
man-dancing_1f57a.png
 
Jaman iv n kwa nn wanaume pindi wanapowakosea wanawake kwenye mahusiano wanakuwa wazito kujishusha ,hii inawaumiza sana wanawake kwan huwapenda wapenzi wao,

Mdada ikimtokea hali hii ,je , ajiahushe ,akaushe au afanye nini? Ushauri wenu wana jf
Tangu lini mwanaume humkosea mke? Huwa hakosei ebo!
 
Jaman iv n kwa nn wanaume pindi wanapowakosea wanawake kwenye mahusiano wanakuwa wazito kujishusha ,hii inawaumiza sana wanawake kwan huwapenda wapenzi wao,

Mdada ikimtokea hali hii ,je , ajiahushe ,akaushe au afanye nini? Ushauri wenu wana jf
Actualy some huwa wanakuja ku admit baadae sana. ila nyie wanawake wenyewe hampendi mwanaume anaomba omba msamaha kila mara..

Mwanaume wa hivyo ana emmit feminime energy.. kitu ambacho wadada hawapend
 
Mademu wanapenda Bad boys..

Watasema wenyewe hapa,,, ukiwa nice guy hakuna rangi utaacha kuona..

Alisikika mkodisha baiskeli akisema
 
Tukishajishusha Nani tayar,
Unategemea Nani akakae juu yetu?

Mwanamke au?

Ha ha ha .... Iyo haipo mkuu
Tena sahau KABisa mkuu

Mwanamke akishapanda juu,
Hakuna rangi utaacha kuona DUNIA hii
 
Ili mwanaume ajishushe anza kujishusha kwanza wewe mwanamke ndipo naye atajishusha la sivyo sahau

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wakujishusha wapo, tafuta utawapatia tu.

Lakini ukitafuta mwanaume kamili wa kukupeleka kwake na kukutunza ukawa mke wake jifunze kuishi naye akiwa juu.
 
Back
Top Bottom