Kwanini wanaume wako hivi?

Kwanini wanaume wako hivi?

MysweetL

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
314
Reaction score
340
Nilikuwa naangalia movie ya kinigeria.

Basi kuna msichana anafuatiliwa na mwanaume ila huyo dada hataki yule dada alipomwambia ukweli yule kaka akaanza kumdis oh wewe ni shepless sijui ungekubali nisingekuleta kwangu ninapoishi sijui ningekutumia kichakani au lodge ya mbali hufai .

Yaani maneno kibao yasioyaheshima basi yule dada akabidi amwambie anamtu wake ndio maana hakuona haja yakusaliti penzi lake.

Ila wakaka sio kila mtu unamdis kisa hakutaki au anamahusiano mengine eleweni kuwa sio kila mwanamke atakupenda
 
Nilikuwa naangalia movie ya kinigeria.
Basi kuna msichana anafuatiliwa na mwanaume ila huyo dada hataki yule dada alipomwambia ukweli yule kaka akaanza kumdis oh wewe ni shepless sijui ungekubali nisingekuleta kwangu ninapoishi sijui ningekutumia kichakani au lodge ya mbali hufai .

Yaani maneno kibao yasioyaheshima basi yule dada akabidi amwambie anamtu wake ndio maana hakuona haja yakusaliti penzi lake.

Ila wakaka sio kila mtu unamdis kisa hakutaki au anamahusiano mengine eleweni kuwa sio kila mwanamke atakupenda
Mambo mrembo..😉
 
Nilikuwa naangalia movie ya kinigeria.
Basi kuna msichana anafuatiliwa na mwanaume ila huyo dada hataki yule dada alipomwambia ukweli yule kaka akaanza kumdis oh wewe ni shepless sijui ungekubali nisingekuleta kwangu ninapoishi sijui ningekutumia kichakani au lodge ya mbali hufai .

Yaani maneno kibao yasioyaheshima basi yule dada akabidi amwambie anamtu wake ndio maana hakuona haja yakusaliti penzi lake.

Ila wakaka sio kila mtu unamdis kisa hakutaki au anamahusiano mengine eleweni kuwa sio kila mwanamke atakupenda
Ok ngoja waje wanaotoa maneno ya shombo.
 
Kumbe ni ndani ya Movie,lakini mbona na wewe unamuiga tabia yule mdada wa kwenye movie anaeitwa SENSIA KANI,anapiga yule
 
Yale maneno mwanamke anayo ambiwa na mwanaume pindi wanapoachana au kukataliwa ule ndo ukweli wenyewe

Akikwambia nlikua nataka kukutumia tu (huo ndo ukweli)

Akikwambia lengo langu ilikua Ni kuish na ww ila umeamua mapenz yetu yaishie hapa (huo ndo ukweli)

Msikasirike mkiambiwa ukweli
 
Yale maneno mwanamke anayo ambiwa na mwanaume pindi wanapoachana au kukataliwa ule ndo ukweli wenyewe
Akikwambia nlikua nataka kukutumia tu (huo ndo ukweli)
Akikwambia lengo langu ilikua Ni kuish na ww ila umeamua mapenz yetu yaishie hapa (huo ndo ukweli)

Msikasirike mkiambiwa ukweli

Sent using Gun Trigger
Kumbeee kwa hiyo mimi nikikuita chokoraa huna hela umekomaa na hauna hadhi na mimi huo ni ukweli
 
Kumbeee kwa hiyo mimi nikikuita chokoraa huna hela umekomaa na hauna hadhi na mimi huo ni ukweli
Huo ndo ukweli pengne umeshapata mwenye pesa zaid ni lazma unione chokoraa

Sent using Gun Trigger
 
Huo ndo ukweli pengne umeshapata mwenye pesa zaid ni lazma unione chokoraa

Sent using Gun Trigger
Umekuta mtu anaurafiki na mtu sio rahisi akukubali au mtu hajavutiwa na sura wala tabia sasa ajilazimishe tu??
 
Back
Top Bottom