- Thread starter
- #21
Kwanza mimi naijua Kenya kuliko wewe. Hakuna nchi hapa EA sijawahi kanyaga. I know you Kenyans very wellHuyo jamaa, nakuhakikishia hajawai kanyaga nje ya mkoa alikozaliwa acha Kenya! Watu kama hawa ni ngumu sana kuwaelewa. Sijui nikupuliza sana moshi wa kuni, hadi unawaingia kwenye medula?