Kwanini wanaume tukifulia hisia za mapenzi zinakata ghafla

Kwanini wanaume tukifulia hisia za mapenzi zinakata ghafla

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,858
Reaction score
60,842
Unaweza ukampenda mtu kwa dhati kipindi una vihela kidogo ila ukiishiwa kabisa ndani ya muda mfupi sana unaogopa unaweza hata kuombwa hela ya bundle ukambwela,hamu na tendo kukata,kujiona comedy n.k...ebu nishaurini nikiwa katika penzi la hali hiyo inamaanishaje?

Ni mimi sijiamini tatizo lipo kwangu au ndo dalili zenyewe za upungufu wa hela mwilini zinakuwaga hivyo.
 
Unaweza ukampenda mtu kwa dhati kipindi una vihela kidogo ila ukiishiwa kabisa ndani ya muda mfupi sana unaogopa unaweza hata kuombwa hela ya bundle ukambwela,hamu na tendo kukata,kujiona comedy n.k...ebu nishaurini nikiwa katika penzi la hali hiyo inamaanishaje?

Ni mimi sijiamini tatizo lipo kwangu au ndo dalili zenyewe za upungufu wa hela mwilini zinakuwaga hivyo.
unakuwa hujiamini,(no confidence) mwanamke akikuhitaji akupe pesa weka mfukoni mjomba haraka sana anaamka na kuhema kwa nguvu
 
Ukimpata mwanamke ambaye anafanya vitu ambavyo 99% ya wanawake hawavifanyi, huyo ndo mwenyewe.

Sasa wavumilivu wako kwenye 1%. Mwingine ukimwambia hivyo, jiandae kununiwa au jukumu apewe mwanaume mwingine.
Ndivyo wengi wao walivyo, ukikosa haelewi kama kuna kukosa licha ya kujua uhalisia wa hali yako.
 
Back
Top Bottom