Kwanini wanaume hamwathamini wanawake?

Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee

Duuu...UNATAMANI KUA MWANAMKE???
 
Wanawake nao wajifunze wanaume wa kuwapenda..... mwanaume asiyekuthamini anaonekana mapeeeeema
 

Kama kakushika mshike mshikamane mkuu. Mimi wa hivi namhitaji zaidi ya dola
 

Mkuu KALINZI NYUMBANI

Yaani ni shiiidah! Hiyo boti unayosafiri
nayo na mimi nimo,

Ngumu kutema ngumu kumeza, sjui wanatuendea kwa waganga? Sjui ujinga tu?
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee

Hakuna cha bure hii dunia waulize hao hata wanawake
 
Pole sana kwa yaliyokukuta lizybert, hii dunia haiko fair hata kidogo...wewe timiza wajinu wako uende zako!
 
Last edited by a moderator:
Ulishaambuwa mwanamke ni shetani, sasa unataka kuthamin shetani? Lizybert vipi ww?
 
unajua nn some men mwanamke ni kama chombo cha starehe kama ilivyo pombe,gari nzur,nyumba nzur na dem mkali.but wanawajua wake zao vizur sana na hawawez kuwaacha.
xo mtu akipata pesa mara nying hupenda kuspend na madem wakali kama starehe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…