ngafu.fijo JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 1,240 Reaction score 1,102 Nov 12, 2015 #21 kwenda21 said: Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee Click to expand... Duuu...UNATAMANI KUA MWANAMKE???
kwenda21 said: Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee Click to expand... Duuu...UNATAMANI KUA MWANAMKE???
Tamatheo JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 3,298 Reaction score 1,562 Nov 12, 2015 #22 ngafu.fijo said: Duuu...UNATAMANI KUA MWANAMKE??? Click to expand... Mbona tayari mwanamke!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????
ngafu.fijo said: Duuu...UNATAMANI KUA MWANAMKE??? Click to expand... Mbona tayari mwanamke!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,766 Reaction score 23,217 Nov 12, 2015 #23 Wanawake nao wajifunze wanaume wa kuwapenda..... mwanaume asiyekuthamini anaonekana mapeeeeema
jerrytz JF-Expert Member Joined Oct 10, 2012 Posts 5,980 Reaction score 4,284 Nov 12, 2015 #24 Wewe dada wewe
Sosthenes Maendeleo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 2,742 Reaction score 1,725 Nov 12, 2015 #25 KALINZI NYUMBANI said: Ukiendekeza wanawake/mwanamke unaweza kuwa mwehu. Wanawake walio wengi ukiwathamini wanakuumiza hisia zako tu. Kinachotakiwa ni kumuonyesha mwanamke ile sitaki nataka ili ashindwe kuusoma mchezo. Pia wanawake baadhi wakishikwa vizuri wanakuwa na viburi. mi mwenyewe nmeshikwa bana ingawa najitahidi kujinasua lakini waapii!. Click to expand... Kama kakushika mshike mshikamane mkuu. Mimi wa hivi namhitaji zaidi ya dola
KALINZI NYUMBANI said: Ukiendekeza wanawake/mwanamke unaweza kuwa mwehu. Wanawake walio wengi ukiwathamini wanakuumiza hisia zako tu. Kinachotakiwa ni kumuonyesha mwanamke ile sitaki nataka ili ashindwe kuusoma mchezo. Pia wanawake baadhi wakishikwa vizuri wanakuwa na viburi. mi mwenyewe nmeshikwa bana ingawa najitahidi kujinasua lakini waapii!. Click to expand... Kama kakushika mshike mshikamane mkuu. Mimi wa hivi namhitaji zaidi ya dola
G GottoloveU Member Joined Oct 20, 2015 Posts 49 Reaction score 16 Nov 12, 2015 #26 KALINZI NYUMBANI said: Ukiendekeza wanawake/mwanamke unaweza kuwa mwehu. Wanawake walio wengi ukiwathamini wanakuumiza hisia zako tu. Kinachotakiwa ni kumuonyesha mwanamke ile sitaki nataka ili ashindwe kuusoma mchezo. Pia wanawake baadhi wakishikwa vizuri wanakuwa na viburi. MI MWENYEWE NIMESHIKWA BANA INGAWA NAJITAHIDI KUJINASUA LAKINI WAAPII!. Click to expand... Mkuu KALINZI NYUMBANI Yaani ni shiiidah! Hiyo boti unayosafiri nayo na mimi nimo, Ngumu kutema ngumu kumeza, sjui wanatuendea kwa waganga? Sjui ujinga tu? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
KALINZI NYUMBANI said: Ukiendekeza wanawake/mwanamke unaweza kuwa mwehu. Wanawake walio wengi ukiwathamini wanakuumiza hisia zako tu. Kinachotakiwa ni kumuonyesha mwanamke ile sitaki nataka ili ashindwe kuusoma mchezo. Pia wanawake baadhi wakishikwa vizuri wanakuwa na viburi. MI MWENYEWE NIMESHIKWA BANA INGAWA NAJITAHIDI KUJINASUA LAKINI WAAPII!. Click to expand... Mkuu KALINZI NYUMBANI Yaani ni shiiidah! Hiyo boti unayosafiri nayo na mimi nimo, Ngumu kutema ngumu kumeza, sjui wanatuendea kwa waganga? Sjui ujinga tu?
Real One JF-Expert Member Joined Jun 26, 2014 Posts 2,158 Reaction score 1,873 Nov 12, 2015 #27 kwenda21 said: Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee Click to expand... Hakuna cha bure hii dunia waulize hao hata wanawake
kwenda21 said: Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee Click to expand... Hakuna cha bure hii dunia waulize hao hata wanawake
Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,252 Reaction score 11,649 Nov 12, 2015 #28 Pole sana kwa yaliyokukuta lizybert, hii dunia haiko fair hata kidogo...wewe timiza wajinu wako uende zako! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Pole sana kwa yaliyokukuta lizybert, hii dunia haiko fair hata kidogo...wewe timiza wajinu wako uende zako!
kwenda21 JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 3,423 Reaction score 3,415 Nov 12, 2015 #29 Bure ipo bwana
G'son JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 777 Reaction score 406 Nov 12, 2015 #30 Ulishaambuwa mwanamke ni shetani, sasa unataka kuthamin shetani? Lizybert vipi ww?
strong ruler JF-Expert Member Joined Nov 2, 2013 Posts 4,919 Reaction score 3,312 Nov 12, 2015 #31 Aisifue mvua imemnyeshea
st kayumba pro Senior Member Joined Jul 11, 2015 Posts 174 Reaction score 21 Nov 12, 2015 #32 kwenda21 said: Unawekewa vocha bureeee.lift barabarani gari unachagua upande lipi maana yanayosimama kwa ajili yako ni mengi. Click to expand... teh teh teh teh teh!
kwenda21 said: Unawekewa vocha bureeee.lift barabarani gari unachagua upande lipi maana yanayosimama kwa ajili yako ni mengi. Click to expand... teh teh teh teh teh!
solvent JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 644 Reaction score 339 Nov 12, 2015 #33 unajua nn some men mwanamke ni kama chombo cha starehe kama ilivyo pombe,gari nzur,nyumba nzur na dem mkali.but wanawajua wake zao vizur sana na hawawez kuwaacha. xo mtu akipata pesa mara nying hupenda kuspend na madem wakali kama starehe tu.
unajua nn some men mwanamke ni kama chombo cha starehe kama ilivyo pombe,gari nzur,nyumba nzur na dem mkali.but wanawajua wake zao vizur sana na hawawez kuwaacha. xo mtu akipata pesa mara nying hupenda kuspend na madem wakali kama starehe tu.
L lizybert JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 226 Reaction score 32 Nov 12, 2015 Thread starter #34 G'son said: Ulishaambuwa mwanamke ni shetani, sasa unataka kuthamin shetani? Lizybert vipi ww? Click to expand... muogope mungu wako wew wanawake unawaita shetani!!!! hay mie cpo
G'son said: Ulishaambuwa mwanamke ni shetani, sasa unataka kuthamin shetani? Lizybert vipi ww? Click to expand... muogope mungu wako wew wanawake unawaita shetani!!!! hay mie cpo
A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,039 Nov 13, 2015 #35 Mwanadamu ni too demanding, mpaka umpate huyo mridhikaji