wanaume (ambao sio mashoga)
Enzi zetu ilikuwa ni nadra sana kwenda kwenye duka la zana la kilimo ukakuta wanauza "jembe" na "mpini"...! Mipini ilikuwa BURE...! Sijui siku hizi lakini...!
Natatizika sana na tabia hii ya wanawake kujiuza kingono bar/madangulo, why not men? au wanaume tu ndio hu enjoy.
Yah, why not kama kweli wote tunaenjoy.
hukunielewa hapo juu au unataka wanaume wakae barabarani kama wafanyavyo machangu ohio ili wawe 'sawa'?je wanajiuza kama hawa kinadada, ambao mnapata bei ya huduma?.
Natatizika sana na tabia hii ya wanawake kujiuza kingono bar/madangulo, why not men? au wanaume tu ndio hu enjoy.
Natatizika sana na tabia hii ya wanawake kujiuza kingono bar/madangulo, why not men? au wanaume tu ndio hu enjoy.
unachekesha.....sosi FF
nani alokwambia wanaume hawajiuzi?