Kwanini wanasayansi wakubwa na wavumbuzi wa mambo katika historia ya dunia wengi wao hawakuwahi kuwa na wapenzi?

Ifuatayo ni orodha ya wanasayansi & watu wengine mashujaa duniani ambao hawakuwahi kuwa hata na girlfriend or boyfriend.
Isaac Newton.
Nikola Tesla.
Jeremy Bentham.
Ludwig Wittgenstein
Jean Paul Satre.
Emile Cioran
Michel Foucalt
Leornado Da Vinci.
Antonio Vivald
Jean le Rond d'Alembert
Anaxagras
Democritus
Heraclitus.
Plato
Diogenes of Sinope
Epicurus
Plotinus
Nikolas Corpernicus
Desderius Erasmus
Rene' Descrartes
Kila mtu mtu hapo juu ni maarufu katika historia ya dunia kutokana na kile alichokifanya!
Swali langu kubwa nalotaka kushare Ideas na reasons na wanajf ni "kwanini wengi wa wanasayansi wakubwa maarufu hawakuwahi kujihusisha na masuala ya mapenzi
Unaamini kwamba kila kitu kilivumbuliwa na hao uliowataja hapo juu?
 
Katika hili la kuoa au kujihusisha na ngono ndiko kuliko tufikisha kwenye matatizo haya tuliyo nayo duniani leo.

Je, wajua mwanaume mtu mzima ambaye hajawaji kujihusisha na mapenzi, kupiga punyeto au kutoa shahawa zake kwa njia yoyote anayo nguvu ya kucontral mazingira?

Hii itabaki kuwa lulu isiyofikiwa kwa sababu jambo hili litaendelea kuwa gumu kwa wanaume karibia wote isipokuwa baadhi ya vichaa ambao faida ya kutokutoa mbegu zao kwa njia yoyote hawaijui bado.
Kanisa katoliki kuwa na msimamo wa mapadre wao na masista wao kutokuoa au kuolewa hawakuianza bahati mbaya! Hii kama wangefanikiwa, ilikuwa iwe mbinu ya kutawala chochote kilicho hai na kisicho hai sema tu ni kwa vile tamaa ya mwanadamu haizuiliki, hivyo hata walipozuiwa kuoa na kuolewa walipata njia mbadala ya kujichua au kuchepuka kwa kificho.

Root chakra ambayo ni kituo cha kwanza cha kiroho kinachohusika na mambo ya ngono ndicho mlango wa kwanza wa mwanadamu kufunguka au kufungwa zaidi na zaidi endapo kitatumika vibaya au vizuri... Ukiweza kucontral mlango huu wa kwanza, milango mingine itafunguka bila shida na kwa haraka bila kutaabika,... Hivyo kupelekea mwanadamu kuwa Mungu kamili hapa duniani.

Hivyo wale watu ambao hawajawahi kujihusisha na ngono ya aina yoyote kuna hazina kubwa kwao ambayo ni miujiza.

Ukweli ni kwamba, ngono ya aina yoyote hata ile ya kuota hadi kupelekea kujichafua sio nzuri!. Hilo ndilo gereza letu mpaka kufa.

Tafadhali katika hili sitaki maswali
 
Katika hili la kuoa au kujihusisha na ngono ndiko kuliko tufikisha kwenye matatizo haya tuliyo nayo duniani leo.

Je, wajua mwanaume mtu mzima ambaye hajawaji kujihusisha na mapenzi, kupiga punyeto au kutoa shahawa zake kwa njia yoyote anayo nguvu ya kucontral mazingira?

Hii itabaki kuwa lulu isiyofikiwa kwa sababu jambo hili litaendelea kuwa gumu kwa wanaume karibia wote isipokuwa baadhi ya vichaa ambao faida ya kutokutoa mbegu zao kwa njia yoyote hawaijui bado.
Kanisa katoliki kuwa na msimamo wa mapadre wao na masista wao kutokuoa au kuolewa hawakuianza bahati mbaya! Hii kama wangefanikiwa, ilikuwa iwe mbinu ya kutawala chochote kilicho hai na kisicho hai sema tu ni kwa vile tamaa ya mwanadamu haizuiliki, hivyo hata walipozuiwa kuoa na kuolewa walipata njia mbadala ya kujichua au kuchepuka kwa kificho.

Root chakra ambayo ni kituo cha kwanza cha kiroho kinachohusika na mambo ya ngono ndicho mlango wa kwanza wa mwanadamu kufunguka au kufungwa zaidi na zaidi endapo kitatumika vibaya au vizuri... Ukiweza kucontral mlango huu wa kwanza, milango mingine itafunguka bila shida na kwa haraka bila kutaabika,... Hivyo kupelekea mwanadamu kuwa Mungu kamili hapa duniani.

Hivyo wale watu ambao hawajawahi kujihusisha na ngono ya aina yoyote kuna hazina kubwa kwao ambayo ni miujiza.

Ukweli ni kwamba, ngono ya aina yoyote hata ile ya kuota hadi kupelekea kujichafua sio nzuri!. Hilo ndilo gereza letu mpaka kufa.

Tafadhali katika hili sitaki maswali
Kijana wa jana mimi nina swali!
 
mm sio mjinga, na afrika hakuna wajinga kama unavyofikil kwanza kinachotukwamisha ni hiki
....neo colonialism, hil ndio jambo baya sana ambalo linakwamisha juhud za afrika sabb ya ukolon, ukolon haujaisha afrika na auwez kuisha sabb ya hawa mabwana kunufaika na rasilimal zetu, mfan hata apa tz kunamadini ya uranium, ujiuliz kwann serkal haichimbi?? usisingizie watahalamu hakuna, au kwann iliwekewa vikwazo na mikataba ya kuizuia kuchimba?? irihal tunajua matumiz yake ni makubwa kwa uzalishaji wa umeme ambao ungesaidia ktk matumiz ya viwanda? jibu ni hao mabwana mnao waabudu hawatak muendelee kujitegemea.
...poor leadership, hapa akuna haja yakueleza maana mnajua
.....pupet leaders
......colonial education, huu ndi upumbv ambao hata wew umekushika akil yako mpka kufkia hatua ya kutotambua mchang wa waafrika na kuwakumbatia ao mashetan weupe,.nishaeleza kuwa hakuna jipya chini ya jua kila wafanyalo hao mabwana lilisha fanywa na mwafrika tangu enz na enz ambapo hao hawakujua hata kuvaa chup, bali tulwafundisha sis, ustaharabu wote umeanzia hapaaa.
........poor gvnt suport, hapa naongelea serkal zetu zmekuwa nzito sana kutambua vipaj vya wananch na kuwasaidia, mfano kuna raia weng sana wamegundua mambo makubwa na ambayo hao wazungu wenu hawajawai yagundua, awa waafrika wamefanya tena bila kugusa izo elimu zao, kuna watz weng tu wamegundua siraha za moto, lkn uliza wako wapi?? kwann wafunguliwe mashitaka kwa kuvumbua kitu cha kuilinda nchi? kama wafanyavyo hao wajiitao developed countries?, mm mwenyew nishawai tengeneza pampu ya kuvuta maji ya kisima cha zaid ya futi11 nikiwa mdogo sana and no one care about that unafikil nimeishia wapi.?, kuna meeng sana yanaishia njian sabb serkal zetu hazisapot raia wake
....religions, hizi nazo ni sabbu zngne znapelekea watu kulaza akili
....
nasemaje kwa akil chafu kama zako, afrika ni ngum kuendelea, maana utumwa wa akil bado unakuteaa kwa kujiona inferior pia ukazan kila mtu ni inferior kama wew, hakuna ilo watu tulikwisha amka kitaambo hayo mapambiao yakuwapamba awo mabeberu bakien nayo nyie msiokuwa na elimu out of the box...
afrika kudumaa hiv sio kwa kupenda kuna watu nyuma ya pazia wana control remote kwa manufaa yao wao, kijana hujui bado, kunywa maji ukalale, mambo ya afrika hayahitaji watu wenye akil ndogo na utumwa wa akili kuyapambanua maan wenzako tupo nje ya box tyr
 
Hii sio kwa wanasayansi tu bali watu wengi walioibadili dunia kifikra hawakuwahi kuwa na wapenzi eg. Jesus Christ na baadhi ya mitume. Tafiti ziko wazi kuwa ukiwa na mwenza au mtu wa kufanya ngono mara kwa mara akili inadumaa,mfano rahisi kwa hapa Tanzania na mazingira yetu utakuta wanawake wazuri asilimia kuwa ushawishika kufanya mapenzi mara kwa mara ivyo sio wazuri kimasomo na carrier zao ni utata sana,ila wanawake wabaya hawana wa kuwashawishi na ndio wazuri sana darasani na huishia kuwa na mafanikio kazini. Ngono ya mara kwa mara hupunguza umri wa kuishi,hudumaza akili,afya kudhorota na ata kifo,wasiofanya ngono uishi vizuri sana na wakifa uacha alama za kudumu
Umeanza vzr ukamaliza vibaya hapo.....nanukuu umeniuzi

#Ukiwa na mwenza au mtu wa kufanya ngono mara kwa mara akili inadumaa.......jibu,hili siyo kwangu aseeeh,nikifanya nakuwa active kinoma
 
mm sio mjinga, na afrika hakuna wajinga kama unavyofikil kwanza kinachotukwamisha ni hiki
....neo colonialism, hil ndio jambo baya sana ambalo linakwamisha juhud za afrika sabb ya ukolon, ukolon haujaisha afrika na auwez kuisha sabb ya hawa mabwana kunufaika na rasilimal zetu, mfan hata apa tz kunamadini ya uranium, ujiuliz kwann serkal haichimbi?? usisingizie watahalamu hakuna, au kwann iliwekewa vikwazo na mikataba ya kuizuia kuchimba?? irihal tunajua matumiz yake ni makubwa kwa uzalishaji wa umeme ambao ungesaidia ktk matumiz ya viwanda? jibu ni hao mabwana mnao waabudu hawatak muendelee kujitegemea.
...poor leadership, hapa akuna haja yakueleza maana mnajua
.....pupet leaders
......colonial education, huu ndi upumbv ambao hata wew umekushika akil yako mpka kufkia hatua ya kutotambua mchang wa waafrika na kuwakumbatia ao mashetan weupe,.nishaeleza kuwa hakuna jipya chini ya jua kila wafanyalo hao mabwana lilisha fanywa na mwafrika tangu enz na enz ambapo hao hawakujua hata kuvaa chup, bali tulwafundisha sis, ustaharabu wote umeanzia hapaaa.
........poor gvnt suport, hapa naongelea serkal zetu zmekuwa nzito sana kutambua vipaj vya wananch na kuwasaidia, mfano kuna raia weng sana wamegundua mambo makubwa na ambayo hao wazungu wenu hawajawai yagundua, awa waafrika wamefanya tena bila kugusa izo elimu zao, kuna watz weng tu wamegundua siraha za moto, lkn uliza wako wapi?? kwann wafunguliwe mashitaka kwa kuvumbua kitu cha kuilinda nchi? kama wafanyavyo hao wajiitao developed countries?, mm mwenyew nishawai tengeneza pampu ya kuvuta maji ya kisima cha zaid ya futi11 nikiwa mdogo sana and no one care about that unafikil nimeishia wapi.?, kuna meeng sana yanaishia njian sabb serkal zetu hazisapot raia wake
....religions, hizi nazo ni sabbu zngne znapelekea watu kulaza akili
....
nasemaje kwa akil chafu kama zako, afrika ni ngum kuendelea, maana utumwa wa akil bado unakuteaa kwa kujiona inferior pia ukazan kila mtu ni inferior kama wew, hakuna ilo watu tulikwisha amka kitaambo hayo mapambiao yakuwapamba awo mabeberu bakien nayo nyie msiokuwa na elimu out of the box...
afrika kudumaa hiv sio kwa kupenda kuna watu nyuma ya pazia wana control remote kwa manufaa yao wao, kijana hujui bado, kunywa maji ukalale, mambo ya afrika hayahitaji watu wenye akil ndogo na utumwa wa akili kuyapambanua maan wenzako tupo nje ya box tyr
Hakuna point ya maana kwenye maelezo yako ila nakupongeza kwa jinsi ulivyojaribu kujitetea japo umetoka nje ya mada kwasababu hata hivyo hao wagunduzi na watu mashuhuri wamekuwepo miaka mingi kabla hata ya kile kinachoitwa ukoloni, hivyo hakuna sababu ya wewe kuamini kuwa babu yako angekuwa na uwezo wa kutengeneza hata gun, wenzetu wamepiga hatua bana tuache unafiki, ningesema mengi lakini nahofia huenda usielewe namaanisha nini kwasababu ya yako "mindset".
 
Katika hili la kuoa au kujihusisha na ngono ndiko kuliko tufikisha kwenye matatizo haya tuliyo nayo duniani leo.

Je, wajua mwanaume mtu mzima ambaye hajawaji kujihusisha na mapenzi, kupiga punyeto au kutoa shahawa zake kwa njia yoyote anayo nguvu ya kucontral mazingira?

Hii itabaki kuwa lulu isiyofikiwa kwa sababu jambo hili litaendelea kuwa gumu kwa wanaume karibia wote isipokuwa baadhi ya vichaa ambao faida ya kutokutoa mbegu zao kwa njia yoyote hawaijui bado.
Kanisa katoliki kuwa na msimamo wa mapadre wao na masista wao kutokuoa au kuolewa hawakuianza bahati mbaya! Hii kama wangefanikiwa, ilikuwa iwe mbinu ya kutawala chochote kilicho hai na kisicho hai sema tu ni kwa vile tamaa ya mwanadamu haizuiliki, hivyo hata walipozuiwa kuoa na kuolewa walipata njia mbadala ya kujichua au kuchepuka kwa kificho.

Root chakra ambayo ni kituo cha kwanza cha kiroho kinachohusika na mambo ya ngono ndicho mlango wa kwanza wa mwanadamu kufunguka au kufungwa zaidi na zaidi endapo kitatumika vibaya au vizuri... Ukiweza kucontral mlango huu wa kwanza, milango mingine itafunguka bila shida na kwa haraka bila kutaabika,... Hivyo kupelekea mwanadamu kuwa Mungu kamili hapa duniani.

Hivyo wale watu ambao hawajawahi kujihusisha na ngono ya aina yoyote kuna hazina kubwa kwao ambayo ni miujiza.

Ukweli ni kwamba, ngono ya aina yoyote hata ile ya kuota hadi kupelekea kujichafua sio nzuri!. Hilo ndilo gereza letu mpaka kufa.

Tafadhali katika hili sitaki maswali
Ningependa kujua zaidi kuhusu chakra kiongozi
 
Umeanza vzr ukamaliza vibaya hapo.....nanukuu umeniuzi

#Ukiwa na mwenza au mtu wa kufanya ngono mara kwa mara akili inadumaa.......jibu,hili siyo kwangu aseeeh,nikifanya nakuwa active kinoma
😁😁 utakuwa active kwenye mambo ya kawaida/trivial things,ila kwenye mambo yanayohitaji critical thinking utafeli sana tu,eg. Kufanya mtihani darasani,kuwa kiongozi mwenye busara ktk kufanya maamuzi magumu hapa lazima uepuke ngono ila kama umeoa au kuolewa fanya ngono once a week,hii ni kwa mujibu wa tafiti za kisayansi,ila kama haujaoa acha ngono na punyeto/masterbation kabisa...inawezekana shiriki mazoezi ya mwili utaweza kuepuka na utafanikiwa sana ktk mambo yako
 
utakuwa active kwenye mambo ya kawaida/trivial things,ila kwenye mambo yanayohitaji critical thinking utafeli sana tu,eg. Kufanya mtihani darasani,kuwa kiongozi mwenye busara ktk kufanya maamuzi magumu hapa lazima uepuke ngono ila kama umeoa au kuolewa fanya ngono once a week,hii ni kwa mujibu wa tafiti za kisayansi,ila kama haujaoa acha ngono na punyeto/masterbation kabisa...inawezekana shiriki mazoezi ya mwili utaweza kuepuka na utafanikiwa sana ktk mambo yako
Uncle eeeh...niko vizuri kila idara na nangonoko kinomanoma pia nafanya mazoezi haswa na nakula vzr haswaa,inshort naenjoy mno na naaminiwa na jamii na sehemu nyingine muhimu kwa maamuzi makubw na yenye tija hivo napinga .
 
Uncle eeeh...niko vizuri kila idara na nangonoko kinomanoma pia nafanya mazoezi haswa na nakula vzr haswaa,inshort naenjoy mno na naaminiwa na jamii na sehemu nyingine muhimu kwa maamuzi makubw na yenye tija hivo napinga .
Ok cool, unangoneka mara ngapi kwa wiki?
 
Juzi juzi hapa dangote nae alisema hana mpango wa kuoa coz yupo bize sana na kusimamia uwekezaji wake wa gesi,mafuta n.k kwa maana hiyo akioa anajua atashindwa ku focus kikamilifu biashara zake ipasavyo...na mimi hapa nimeanza kuifikiria mara mbili mbili ile barua ya uchumba niichome moto tu kwasababu ndoto zangu za kuwa na kampuni yangu kabla ya 2025 zitayeyuka baada ya ndoa
 
benefit pekee ya kuwa na mke/mume au girlfriend/boyfriend ni kustareheshana kingono na kutengeneza familia. mengine ni mbwembwe tu. sio ya muhimu sana.

sababu hizo ndizo zinazowasukuma baadhi ya binadamu kutokuwa na wapenzi.

watu hawa wanaona bora watumie vipawa vyao vya akili kufanya deep critical thinking ili waje na majawabu yanayoweza kutatua matatizo mbalimbali na kuvumbua vitu vyenye manufaa chanya kwa vizazi vya wanadamu.
 
benefit pekee ya kuwa na mke/mume au girlfriend/boyfriend ni kustareheshana kingono na kutengeneza familia. mengine ni mbwembwe tu. sio ya muhimu sana.

sababu hizo ndizo zinazowasukuma baadhi ya binadamu kutokuwa na wapenzi.

watu hawa wanaona bora watumie vipawa vyao vya akili kufanya deep critical thinking ili waje na majawabu ya kuvumbua vitu mbalimbali vyenye manufaa chanya kwa vizazi vya wanadamu.
Kuna ukweli hapa.
 
Juzi juzi hapa dangote nae alisema hana mpango wa kuoa coz yupo bize sana na kusimamia uwekezaji wake wa gesi,mafuta n.k kwa maana hiyo akioa anajua atashindwa ku focus kikamilifu biashara zake ipasavyo...na mimi hapa nimeanza kuifikiria mara mbili mbili ile barua ya uchumba niichome moto tu kwasababu ndoto zangu za kuwa na kampuni yangu kabla ya 2025 zitayeyuka baada ya ndoa
Ukishaoa ndo mwanzo wa kupotea
 
Back
Top Bottom