Kwanini wanasayansi wakubwa na wavumbuzi wa mambo katika historia ya dunia wengi wao hawakuwahi kuwa na wapenzi?

Na mtu akiambiwa amefungwa ina maana vifungo ndio hivyo apo 🤔🤔🤔
Mzungu kafanyia utafiti kila kitu kwenye dunia hii aisee na ameweka ktk maandishi dooh ngojea nikachukue dozi yangu ya astra zeneca nisilete ubishi kwa huyu kiumbe aisee
Sielewi hata ila inasemekana hivi vituo vikiwa vimefunguka vyote unakua kama Mungu katikati ya wanadamu
 
Hapa ishu ni mazingira ngono tunaizingizia mfano mzuri mm mwenyewe sijawah kuoitisha siku bila ngono iwe puli au kwa mwanamke lakin kichwa changu kipo fasta nilishawai buni station ya radio ilioshika kitaan kwangu tu kwa kutumia vitu vya kawaida nishawah buni chanzo cha nishat kilicho zalisha watt 500 na kuwasambazia mtaan kwangu ila sikuwa na sapoti lait ningekuwa na sappot ni mengi ninayo ndan ya head yng kwahy ufanyaj wa ngono hauna uhusiano wowot na hizo ishu ni mazingira

Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
 
Ifuatayo ni orodha ya wanasayansi & watu wengine mashujaa duniani ambao hawakuwahi kuwa hata na girlfriend or boyfriend.
Isaac Newton.
Nikola Tesla.
Jeremy Bentham.
Ludwig Wittgenstein
Jean Paul Satre.
Emile Cioran
Michel Foucalt
Leornado Da Vinci.
Antonio Vivald
Jean le Rond d'Alembert
Anaxagras
Democritus
Heraclitus.
Plato
Diogenes of Sinope
Epicurus
Plotinus
Nikolas Corpernicus
Desderius Erasmus
Rene' Descrartes
Kila mtu mtu hapo juu ni maarufu katika historia ya dunia kutokana na kile alichokifanya!
Swali langu kubwa nalotaka kushare Ideas na reasons na wanajf ni "kwanini wengi wa wanasayansi wakubwa maarufu hawakuwahi kujihusisha na masuala ya mapenzi

Leonard Da Vinchi angekuwaje na mpenzi wakati alikuwa shoga akinyukana na Cesare Borgia? mpaka akamchora cesare ikawa ndiyo sura/picha iliyojazana kwenye makanisa na nyumba za wakatoliki kuwa ndiye Yesu
 
Hii sio kwa wanasayansi tu bali watu wengi walioibadili dunia kifikra hawakuwahi kuwa na wapenzi eg. Jesus Christ na baadhi ya mitume. Tafiti ziko wazi kuwa ukiwa na mwenza au mtu wa kufanya ngono mara kwa mara akili inadumaa,mfano rahisi kwa hapa Tanzania na mazingira yetu utakuta wanawake wazuri asilimia kubwa ushawishika kufanya mapenzi mara kwa mara ivyo sio wazuri kimasomo na carrier zao ni utata sana,ila wanawake wabaya hawana wa kuwashawishi na ndio wazuri sana darasani na huishia kuwa na mafanikio kazini. Ngono ya mara kwa mara hupunguza umri wa kuishi,hudumaza akili,afya kudhorota na ata kifo,wasiofanya ngono uishi vizuri sana na wakifa uacha alama za kudumu
Toeni suluhisho sasa maana inaonekana hii jinsia ni kikwazo cha maendeleao duniani
 
Na ukiangalia hapo kwenye list hakuna hata mmoja kutoka Africa, simply mababu zetu walikuwa wanaletewa zawadi za shanga na wakoloni kutoka ng'ambo kumbe Ni njia ya kuwatoa kwenye reli...
Ulichoongea ni uongo mtupu.. Kasome tena historia.. Shida ya Waafrika tena watanzania elimu yetu inafundisha uongo zaidi kuliko mambo yaliyotokea
 
Ndo maana nimeacha kutandika watu mkuyenge ili niwe mwana zayazi hebu fikiria vijana wanakwenda kufanya kazi huko International Space Station for six moths ndo wanarudi sasa mpenzi gani atakae kubaliana na hii hali? Sasa umkute kijana wa Kingoni au kizigua umwambie uende huko juu for six months atakwambia ooh nimeoa juzi nitamwacha na nani mke wangu labda niende nae kumbe hajui kule juu hakuna gravitational force hivyo mkuuyenge hausimami kule
Mh we jamaa gravity inahusikaje kusimamisha mkuyege
 
Awo mabwege wote bla afrika sjui mngewajulia wapi,,,kazana kusoma elimu out of box utayajua mengi nyuma ya pazia,,hakuna wanasayans wakubwa kama wale waliowahi kuwako afrika, maana hawo ndyo waliyagundua yote mnayodanganywa na awo ngoz nyeupe...endeleen kuwashobokea mabwana zenuView attachment 1816269
Dogo yaani naona hizi ni akili zngu kabisaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Ukiwa na mpenzi au ukijihusisha na mapenzi akili yako haziwezi kuwa Sawa maana baada ya kufikiri mambo ya maana unawaza masuala ya wivu badala ya kuwa busy.Hao jamaa walijua Hilo wakaamua kuwa busy na mambo mengine.
Kweli aisee hata Paulo hakuwa na mpenzi!@@@@@
 
Ifike tu mda waafrika tukubali kuwa tuko nyuma sana na tulikuwa nyuma, kwasababu hata hivyo bado kuna wajinga wengi ikiwemo wewe, mbali na kuwa ni karne ya 21 just imagine hadi leo hatuna uwezo wa kutengeneza vitu vya maana ata iyo cm unayotumia ni ya mzungu, sasa hao unaosema wanasayansi wa africa walifanya nini?
Hakuna haja ya kuwasimanga mababu zetu ambao wameishatangulia mbele ya haki jamani, sasa tunatumia simu ambazo zimetengenezwa na wachina ambao sio wao wala mababu zao walioshiriki kwenye uvumbuzi wa kisayansi wanaotumia leo kutengeneza hizo simu na vitu vingine vingi tu.

tujiulize sisi wenyewe, leo tunafanya nini japo katika kuhakikisha tunatumia uelewa wa kisayansi uliopo leo kutatua matatizo au kushiriki katika utatuzi wa matatizo mbalimbali duniani.


kulalamika hakutasaidia kitu, tukiendelea namna hii, na sisi tutaondoka then watakuja watoto wetu wataanza kutulalamikia namna hii hii.
 
Kampeni yote humu ni kupinga familia na kutaka w àtu waishi single je kuna agenda gani?!
 
Mwenyewe nataka nijaribu kuishi bila sex,ivi nitaweza kweli au ndo nitarudi kwenye nyeto? Naona kila ninachofanya sisogei aisee
 
Back
Top Bottom