omutimbasafi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 608
- 763
hao walikuwa walinzi wa amani ambao mpaka uwachokoze ndo wanajihami,wapo kule kwa ajili ya kuhakikisha maridhiano yanapatikana na kulinda raia.Nakuomba usipotoshe umma na itikadi zako za kisiasa;jeshi halipo kisiasa,wala urafiki wa mtu na mtu;kwani awamu ya JK;Hakuna walinzi wetu wa amani walio kufa huko kongo,sudani;lebanoni n.k.