- Thread starter
- #21
Hahaha sawa endeleeni mtakuja kumbuka mmechelewa.Hata nyoka wakipigana haina maana mmoja hana sumu, wote wanasumu but utaengemea kwa yule mwenye sumu kidogo kwa masilahi/faida yako.
Inawezekana ulikuwa hujui kama Msiba aliyewashangaa Chadema kwanini wanatete upande wa 2!! CDM wanachochea tu kuni ili fukuto liendelee kama ulikuwa hujui.