Kwanini wamakonde wanadharauliwa?

Zenji wanadharauliwa Wamakunduuchi, kwani maustaadh wao wanaranda na ngazi usiku kucha kupiga chabo. kama ni mwalimu skuli au madrassa basi watoto wote wa kiume si riski tena

kumbe wazenj nao mnadharauliana!!?? na hao maustadhi kwanini wanatabia hio!!??
 
kaka tembea mtu akijatambulisha mmakonde hata kama ni dar ambapo ni saa 6 au 7 wao wanaamin anatoka mbali huko na wanaamin n mshamba kwa kila ktu je huo ni utani wa kikabila?

Weweeee.....!! Mimi ni Mmakonde pure, nimeishi Moshi, Morogoro, Tanga, Dar, Iringa na sasa Mbeya!! Na kwote ninakopita nafahamika sana sababu ya Umakonde, hiyo ni inferiority yako tu. Majina yaote unayojua nimeitwa sana chamaki nchanga, nchumali, mmachinga, chinga na sasa mzee wa gesi upooo???

Kuna ndugu yangu nilinchukua Mtwara yeye alikuwa anapigana mara kwa mara huko Iringa sababu ya inferiority akitaniwa kidogo tu anahisi kadharauliwa, na kama ujuavyo Makonde hakubali kudharauliwa hata kidogo ila sasa nashukuru amechange na anafanya maisha kama kawa. Hali hiyo ndiyo uliyonayo wewe, hizo ni hisia tu na narudia tena kuwa mi nataka uthibitisho 'AINA YA DHARAU' unayoona wanapewa kila siku. Achana na hizo hisia za kuonekana mshamba na nini sijui lete evidence mezani tuichambue bana
 
Na kuna dhana ilikuwepo kuwa wamakonde wanakula nyama za watu.
 
Wanajishuku tu, hakuna anayewadharau, mbona wasukuma wanasakamwa sana? Mara wanapenda msosi, mara washamba huwa wanauziwa bahari na lile daraj la Manzese, mara wao ni kama mbwa mbele ya chatu kwa wanawake weupe. Hawawahi chukulia kama dharau.
 
vipi lile kabila la kukandamiza kutoka kanda ya ziwa, maana sijaona watu washamba kama wale

Acha dharau wewe kanda ya ziwa inaingiaje kwenye topic hii? kwa mtu asie na exposure ya kutembea mikoa mingi Tanzania ndo hufikiria humiliation kwa makabila mengine.
Hata hivyo wasukuma ndio kabila linaloongoza kwa ukarimu ktk nchi hii! wazee wa maguzu masese!
 
nani anawadharau na kivipi? wacha kuchokonoa mioyo ya watu wewe! shemeji yenu mmakonde ,wale mademu wako juu kule kunako na zile figure zao! shauri zenu niacheni nijilie samaki mchanga ukweni!
 
Dada zetu wamakonde ni wakarimu sana sio vizuri kuwadharau eti kwa sababu wanakula Panya.
 
kihistoria wamakonde wanaonekana ni watu kutoka msumbiji na hata mkoa wa mtwara na lindi yote ilikua sehemu ya msumbiji, huenda hilo inaweza kuwa sababu ya kuadharau wamakonde.
LINDI na MTWARA eeeh,haya elimu haina mwisho.
 
wewe mtoa post una chuki binafsi na wamakonde.....naomba mtuachiee ntwaraa yetuuu ges
 
watu wengi walikuwa hawajawahi kufika mikoa ya kusini kutokana na tatizo la miundombinu lilosababishwa na serikali ya awamu ya kwanza kuitelekeza mikoa hiyo, hivyo walidhani watu wa huko ni waajabu saana. kwa sasa kusini kumefunguka, watu wanaoenda huko ndio wanashangaa kuona kumbe mazingira ni ya kawaida tu kama sehemu nyingine, tena kwa upande wa vijiji, mikoa ya kusini kuna vijiji vinavyoeleweka kuliko sehemu nyingi tu za nchi hii.
 
Kwa sababu wanajidharau we mtu hutaki kusema unatokea Ntwala unategemea nn siku wakikujua ni wa huko, lazima wakudharau na kuona kwenu si lolote kama mwenyeji unakumbia.
 

Poor u.. Uwezo wako wa fikra uko chin ya wa kondoo.
 

Wewe raia kwel wa hii nchi au mhamiaji haramu wewe.. Lakin nisikulaum sana mana hapo ndipo ubongo wako ulipokoma kufikiri.
 

Wamakonde watudharauliwi bali tunataniana na makabila mengi sana hii ni kutokana haiba,historia na mengine mengi tu..Pia suala la kuwa nyuma kimaendeleo hili ni la kihistoria zaid ambapo wakoloni waliyafanya maeneo ya kusini ni kuwa maalumu kwa kuchukua vijana ambao ndo nguvu kazi na kuwapeleka katika mashamba yao huko Arusha,Kilimanjaro,Tanga Morogoro na kadhalika..hakukujengwa miundo mbinu na huduma za jamii. Hivyo kutokana kutaniwa sana na watu wengine we unahisi kuwa ni dharau kitu ambacho si kwel, hii inamaanisha kuwa tuna amani na kila mtu wa kabila lolote.
 
Mbona mi naona kama wamasai ndo wamedharauliwa sana!
Mara utasikia disko kaingia masai!
Mara kasimamisha basi la abiria kuulizia mda!
Wamekufa masai wawili na mtu mmoja!

Hivi Tanzania hii kuna watu wanadharauliwa,kupigwa madongo na kutaniwa kama wamasai???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…