Kwanini wamakonde wanadharauliwa?

Hakuna anayedharauliwa isipokuwa ni kabila lenye marafiki wengi. Popote pale apitapo Mmakonde atataniwa sijui Chinga au Chamaki Nchanga, ni utani wa kawaida kabisa coz upo katika makabila yote Tanzania.

Kama ni kudharauliwa tuwataje Wachaga wa Uru (Kishumundu), wapo kwenye mkoa wenye maendeleo sana lakini wanantaniwa kuwa wanaogopa sanamu ya YMCA na ndio Wachaga walio chini kimaendeleo. Lakini kwa sababu ni utani tuu inakuwa poa kwani inakuongezea marafiki na heshima kwenye jamii kama na wewe utajua namna ya kujichanganya na utani huo

Kinachowasumbua ni inferiority tu, mtu akikutania unaona kakudharau! Mie nakataa unless umeleta ushahidi wa mmakonde kudharauliwa mahali ikiwa si lengo la utani.
 
Mbona waha wana asili ya burundi lkn hawadharauliki kivile?
 

Mama joe, wafanyabiashara bila fremu sio wote ni wamachinga na usiniambie kwamba hakuna wamakonde maprofesa au wauza madini.
 

Inategemea ntu na ntu
 

kabila la tanzania na malawi ni wandali/kindali
 
Wana mambo ya kishamba sana ndo maana
 
Mkuu, sio wote wanaowadharau Wamakonde. Isitoshe tabia ya kudharau wengine kwa hali yoyote ile hufanywa na mtu mbumbumbu asiejielewana moja kwa moja hudhihirisha ujinga wake. Hata ktk thread hii utawatambua watu wa aina hii kwa comment zao.
 

vipi lile kabila la kukandamiza kutoka kanda ya ziwa, maana sijaona watu washamba kama wale
 
watoto hupenda sana kuweka 'cha' kwenye 'sa'.., imagine mtu anasema "chamaki" instead of "samaki", au anasema "nchale" instead of "mshale".., yaani unaanza kuhisi kama unaongea na mtoto mdogo anaeanza kujifunza kuongea.., kwa hiyo wanakuwa kama vikatuni fulani hivi.., tatizo ni lafudhi yao imefanana na ya watoto wadogo wasiojua kuongea bado.
 
wanadharauliwa vipi? walishatoa rais na kuna mwengine anawania tena 2015!
 

teeh we watakuja wenyewe but m siwadharau tena
 
vipi lile kabila la kukandamiza kutoka kanda ya ziwa, maana sijaona watu washamba kama wale

wewe usiwachokoze hawa watu humu ni wengi sana na wakianza kuongea itabidi uombe mods aitoe thread maana wanatupia kisukuma mwanzo mwisho
 

Hivi unajua maana ya utani wa kikabila ndugu yangu?
 
teeh we watakuja wenyewe but m siwadharau tena

Hiyo sio dharau ni utani tu. Mfano sisi kila mtanzania anajua kuwa eti ni wachawi, lakini hiyo haitufanyi tujione kuwa tumedharauliwa. Ni utani na ukifuatilia kwenye ishu ya matamshi kila kabila lina namna yake na hapo ndio utani unapoanzia,,,,,
 
Anayekudharau siku moja atakusalimia kwa heshima*8 .......
 
Sisi huku tuwadharau wamasai kwa kuwaita Wachambia Rungu
Zenji wanadharauliwa Wamakunduuchi, kwani maustaadh wao wanaranda na ngazi usiku kucha kupiga chabo. kama ni mwalimu skuli au madrassa basi watoto wote wa kiume si riski tena
 

Kabila letu 4 is INE
 

kaka tembea mtu akijatambulisha mmakonde hata kama ni dar ambapo ni saa 6 au 7 wao wanaamin anatoka mbali huko na wanaamin n mshamba kwa kila ktu je huo ni utani wa kikabila?
 
Mama joe, wafanyabiashara bila fremu sio wote ni wamachinga na usiniambie kwamba hakuna wamakonde maprofesa au wauza madini.

salamander naungana nawe vijana wa makabila mengi kutokana na ugumu wa maisha wamejiingza kwenye shugul za biashara ndogondogo jina la machinga limebak kama alama tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…