Kwanini walimu ndo wanaongoza kwa kuchapiwa na usimp mwingi?

Kwanini walimu ndo wanaongoza kwa kuchapiwa na usimp mwingi?

Munch wa Annabelle

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
6,290
Reaction score
10,859
Wakuu habar za asubuhi

Kuna karesearch nimekufanya kwa kuzingatia mambo fulan fulan nimekuja kugundua asilimia karibia 70 ya wafanyakazi wa serikali wanaongoza kwa kuchapiwa wake zao ni walimu.

Pia asilimia 90+ ya wafanyakazi wa serikali wanaongoza kwa usimp ni walimu.

Yani wao kugongewa wake zao na boda boda, wauza chips na wakopesha viombo ( waha) na wakopesha pesa ( kausha damu) limekua jambo la kawaida sana.

Imefika wakat sasa kila mtu mtaani akijue yule ni mke wa mwalimu hata kama anasura ya Babu lkn wahuni watataka wamkamie hadi wamle hivohvo bila huruma yeyote.

Ukija Kwenye usimp ndo usiseme, karibia nyuzi nying humu za wanao lilia kuhusu mapenz ni walimu ( sina uhakika sana)

Hasira zao sasa ni kukamia vibinti vya form 1 hadi 4, na wanawakamia Kwelkwel, mwanafunz akiwa chuma haswa lazma walimu hata watano wapite nae.

Kwann hali hii inawakuta hii KADA?
 
Wakuu habar za asubuhi

Kuna karesearch nimekufanya kwa kuzingatia mambo fulan fulan nimekuja kugundua asilimia karibia 70 ya wafanyakazi wa serikali wanaongoza kwa kuchapiwa wake zao ni walimu.

Pia asilimia 90+ ya wafanyakazi wa serikali wanaongoza kwa usimp ni walimu.

Yani wao kugongewa wake zao na boda boda, wauza chips na wakopesha viombo ( waha) na wakopesha pesa ( kausha damu) limekua jambo la kawaida sana.

Imefika wakat sasa kila mtu mtaani akijue yule ni mke wa mwalimu hata kama anasura ya Babu lkn wahuni watataka wamkamie hadi wamle hivohvo bila huruma yeyote.

Ukija Kwenye usimp ndo usiseme, karibia nyuzi nying humu za wanao lilia kuhusu mapenz ni walimu ( sina uhakika sana)

Hasira zao sasa ni kukamia vibinti vya form 1 hadi 4, na wanawakamia Kwelkwel, mwanafunz akiwa chuma haswa lazma walimu hata watano wapite nae.

Kwann hali hii inawakuta hii KADA?
Utoto ni raha sana.......
 
Wewe unawasema walimu wa miaka hiyo sio hawa wa leo waliopita JKT kaka .
Usiwajaribu wanapiga mpaka unaweza kuomba maji ya kunywa ,jichanganye umtongoze mkewe ajue ndiyo utajua ni walimu au ni maticha
 
Utoto ni raha sana.......
Yani post ya huyu jamaa na maandiko yako ni sawa sawa sambamba kabisa nashangaa unampinga

😁🤣
20251024_001219.jpg
 
Yani post ya huyu jamaa na maandiko yako ni sawa sawa sambamba kabisa nashangaa unampinga


View attachment 3494986
Acha kua na chuki za Dini mkuu utapata stress hiyo Imani sio ya mama ako au Baba yako, tena mda sio mrefu ntakuletea research xingine za theological ziko kama 200, ziko tayari kwa discussions.
 
Jamaa sijui Walimu wamekukosea nini?.
Yaan kila siku ni kusema Waalimu tu.

Nadhan una chuki na Mwalimu mmoja . Na unajua yuko huku . Kwahiyo unamfikishia ujumbe.
Na kumkera sio.

Anyway. Chuki Binafsi Hazijengi.
Live your Life na acha kuwasimanga Waalimu.

Wanawalea na kuwafundisha watoto wetu. Tuwaheshimu
 
Jamaa sijui Walimu wamekukosea nini?.
Yaan kila siku ni kusema Waalimu tu.

Nadhan una chuki na Mwalimu mmoja . Na unajua yuko huku . Kwahiyo unamfikishia ujumbe.
Na kumkera sio.

Anyway. Chuki Binafsi Hazijengi.
Live your Life na acha kuwasimanga Waalimu.

Wanawalea na kuwafundisha watoto wetu. Tuwaheshimu
Sina chuki na walimu mm mwenyw mwalimu
 
Jamaa sijui Walimu wamekukosea nini?.
Yaan kila siku ni kusema Waalimu tu.

Nadhan una chuki na Mwalimu mmoja . Na unajua yuko huku . Kwahiyo unamfikishia ujumbe.
Na kumkera sio.

Anyway. Chuki Binafsi Hazijengi.
Live your Life na acha kuwasimanga Waalimu.

Wanawalea na kuwafundisha watoto wetu. Tuwaheshimu
Huyu atakuwa ametelekezwa na mwalimu sasa amekuwa na hasira nao sanaaa 🤣🤣
 
Back
Top Bottom