Kama walivyofanya walt disney kwa kulikatia hati miliki neno 'Hakuna matata' nami nataka nifanye hivyo kwa neno 'Beberu'. Nimeanza kuona linatumika kila mahali mara kwa mara. Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni - JamiiForums...