Wanabodi.
Nimefanikiwa kufanya kazi wizarani (viwanda) nikaona pagumu nikaona niende halmashauri. Nimeona moja ya vitu ambavyo serikali imechemka Ni kuzipa wizara nguvu kubwa sana saana. Kwasababu hiyo influence ya wafanyakazi wa wizara kwa watu wa halmashuri ni kubwa sana na wafanyakazi wengi wa wizara mbali mbali huwatumia wafanyakazi wa halmashuri kama daraja la kutengeneza pesa.
Nini kifanyike.
ufuatiliaji inayofanyika halmashuri iwe chini ya madiwani. Kwakuwa madiwani wananguvu sana huku halmashauri. Pia jambo kubwa ni kuwa serikali iangalie usawa hasa katika kujiendeleza kielimu kwa wafanyakazi wore wizara ma halmashauri watumishi wa halmashauri wengi wananyanyaika sana kwenye swala la elimu.
Ni matumaini yangu viongozi mbali mbali wako humu pia na wasaidizi wa rais. Hili swala liangaliwe kwa mapana.
Nimefanikiwa kufanya kazi wizarani (viwanda) nikaona pagumu nikaona niende halmashauri. Nimeona moja ya vitu ambavyo serikali imechemka Ni kuzipa wizara nguvu kubwa sana saana. Kwasababu hiyo influence ya wafanyakazi wa wizara kwa watu wa halmashuri ni kubwa sana na wafanyakazi wengi wa wizara mbali mbali huwatumia wafanyakazi wa halmashuri kama daraja la kutengeneza pesa.
Nini kifanyike.
ufuatiliaji inayofanyika halmashuri iwe chini ya madiwani. Kwakuwa madiwani wananguvu sana huku halmashauri. Pia jambo kubwa ni kuwa serikali iangalie usawa hasa katika kujiendeleza kielimu kwa wafanyakazi wore wizara ma halmashauri watumishi wa halmashauri wengi wananyanyaika sana kwenye swala la elimu.
Ni matumaini yangu viongozi mbali mbali wako humu pia na wasaidizi wa rais. Hili swala liangaliwe kwa mapana.