Kwanini wadada wenye miguu myembamba wanapiga sana mizinga?

Kwanini wadada wenye miguu myembamba wanapiga sana mizinga?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,693
Reaction score
21,767
Baada ya kufanya uchunguzi na kuwahoji vijana takribani 50, nimebaini wasichana wenye miguu myembamba wana tabia ya kuomba hela mara 50 zaidi ya wale wenye miguu minene, yaani ukiwa na dada mwenye miguu myembamba a.k.a Ngoko a.k.a mironjo ni vizuri ukaanza na harakati za kumuomba boss wako akupandishie mshahara.

Wataalam wa mahusiano hii imekaaje?
 
Aisee.....ngoja nifanye kauchunguzi kadogo.
 
Wale wenye majina yanayoanza na neno miss humu jf wana majibu mazuri ya swali lako. Ngoja waje,
 
Mada nyingine Ata hazieleweki, mizinga muhimu, leten hiyo research mliyoifanya mkagundua
 
Ngoja waje wenye miguu myembamba watupe majibu.
 
Nilishawah Date Nao Kma Wawil Hivi, Sikuiona Hii Tabia....Hata Kwa Wenye Miguu Iliojazia....Pia Sikuiona!! Nachoona Ni Tabia Za Mtu Tuu!!!
 
Hamna chochote mizinga haina miguu myembamba wala minene
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom