MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,693
- 21,767
Baada ya kufanya uchunguzi na kuwahoji vijana takribani 50, nimebaini wasichana wenye miguu myembamba wana tabia ya kuomba hela mara 50 zaidi ya wale wenye miguu minene, yaani ukiwa na dada mwenye miguu myembamba a.k.a Ngoko a.k.a mironjo ni vizuri ukaanza na harakati za kumuomba boss wako akupandishie mshahara.
Wataalam wa mahusiano hii imekaaje?
Wataalam wa mahusiano hii imekaaje?
