Kwanini wachunga ng'ombe wengi 'madishi yameyumba'?

Kwanini wachunga ng'ombe wengi 'madishi yameyumba'?

Nina mifano mitatu kitaani kwetu ya wachungaji hawa wa mifugo jinsi network zao zilivyokata.

Wa Kwanza yeye anaongea peke yake muda wote, wa pili yeye habadili nguo mwwka mzima, wa tatu yeye muda wote anaiwaza Simba club yaani hana stori nyingine zaidi ya Simba na hawa wote wanachunga mifugo ya matajiri wao kwa ujira mdogo sana ila wanaifanya hio kazi kwa moyo kama vile mifugo ni yao yaani hawa feel ile kunyanyasika na kutumika bila malengo na hawana mpango wa kurudi majumbani kwao.

Nilivyohoji watu wakadai hawa wachungaji hulogwa na hao maboss wao wanapoanza kazi huwachanganyia maziwa na mikojo ya punda na dawa nyingine Fulani wanageuka misukule Fulani, sababu nyingine inasemekana kukaa na ng'ombe muda mrefu unapata athari za harufu ya kinyesi chake kwani ng'ombe hula majani mbalimbali mpaka bangi so kale kaharufu kanachanganyika na kinyesi ukikaa naye around muda mrefu ndo inaenda kichwa kinakua kibovu.
Ni laana za kufilana na ng'ombe maporini
 
Nina mifano mitatu kitaani kwetu ya wachungaji hawa wa mifugo jinsi network zao zilivyokata.

Wa Kwanza yeye anaongea peke yake muda wote, wa pili yeye habadili nguo mwwka mzima, wa tatu yeye muda wote anaiwaza Simba club yaani hana stori nyingine zaidi ya Simba na hawa wote wanachunga mifugo ya matajiri wao kwa ujira mdogo sana ila wanaifanya hio kazi kwa moyo kama vile mifugo ni yao yaani hawa feel ile kunyanyasika na kutumika bila malengo na hawana mpango wa kurudi majumbani kwao.

Nilivyohoji watu wakadai hawa wachungaji hulogwa na hao maboss wao wanapoanza kazi huwachanganyia maziwa na mikojo ya punda na dawa nyingine Fulani wanageuka misukule Fulani, sababu nyingine inasemekana kukaa na ng'ombe muda mrefu unapata athari za harufu ya kinyesi chake kwani ng'ombe hula majani mbalimbali mpaka bangi so kale kaharufu kanachanganyika na kinyesi ukikaa naye around muda mrefu ndo inaenda kichwa kinakua kibovu.
Bila shaka unamzungumzia Mpwayungu Village
 
Nina mifano mitatu kitaani kwetu ya wachungaji hawa wa mifugo jinsi network zao zilivyokata.

Wa Kwanza yeye anaongea peke yake muda wote, wa pili yeye habadili nguo mwwka mzima, wa tatu yeye muda wote anaiwaza Simba club yaani hana stori nyingine zaidi ya Simba na hawa wote wanachunga mifugo ya matajiri wao kwa ujira mdogo sana ila wanaifanya hio kazi kwa moyo kama vile mifugo ni yao yaani hawa feel ile kunyanyasika na kutumika bila malengo na hawana mpango wa kurudi majumbani kwao.

Nilivyohoji watu wakadai hawa wachungaji hulogwa na hao maboss wao wanapoanza kazi huwachanganyia maziwa na mikojo ya punda na dawa nyingine Fulani wanageuka misukule Fulani, sababu nyingine inasemekana kukaa na ng'ombe muda mrefu unapata athari za harufu ya kinyesi chake kwani ng'ombe hula majani mbalimbali mpaka bangi so kale kaharufu kanachanganyika na kinyesi ukikaa naye around muda mrefu ndo inaenda kichwa kinakua kibovu.
Kuna Uzi mmoja ulianzishwa kwenye jukwaa la MMU dogo mchunga ng'ombe alihonga manzi 120K kodi ya nyumba halafu akanyimwa mchezo... Kilichofuata alitaka kutoa roho ya dada wa watu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
sio kweli nina fuga n'gombe namlipa laki na nusu, ni msafi hatari anaweza hata kupigia mkeo, katika hao ngombe saba, mmoja nimempatia atakapokuwa anasepea utakuwa mtaji wa kuanzia maisha, nimependa sana malisho , bado tunanunua malisho na tunasomba na canter , sioni kama ni ujinga kuwa mchunga ngombe
 
1. kama nikweli wapo matajiri wanawafunga wajakazi wao basi watambue kuwa hiyo ni dhambi na wataenda kujibu kwa Mwenyezi Mungu hayo wanayoyafanya

Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno![Luqmaan: 13]

إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيمٌ


2. Vile vile wachunga ng'ombe na wanyama kwa ujumla wale ambao mmejawa na kibri na majivuno mnapokua na wanyama wenu, mnapoyaona magari, piki piki au trekta yanakuja basi swageni wanyama wenu kuwaelekezea pembeni ya barabara na sio kuyashangaa magari au pikipiki yanapofika sehemu ya wanyama wako huku ukishangaa, jirekebisheni aise, kuna madereva wengine vichaa kwelikweli utagongewa ng'ombe wako na hata wewe kupigwa. Kuweni makini sana. Na hiyo tabia muiache haraka.

Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom