Ukajifunze wapi wakati kila kitu elimu yote unaipata kwenye smartphoneKwa nini mchina aje badala ya mtu wa Kigoma kufanya??Mnataka aje mchina mmoja kuwaonesha jinsi ya kulima,kuvuna,kukamua,kuchuja na kupack au kuprocess zaidi ...kwa nini wanafunzi kutoka Kigoma wasiende SUA kujifunza kilimo husika?