Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Mchambuzi Skawa Jr. amehoji baada ya Mbunge wa Iramba Mashariki, Francis Mtinga, akichangia Mjadala wa bajeti ya Wizara ya Afya jana Juni 2, 2025 kuomba Watanzania kukatwa kiasi cha Tsh 100 kwenye kila vocha ya 1000 atakayonunua ili kuchangia huduma za afya.