Kwanini video na picha nikimtumia mtu kwa WhatsApp quality hushuka?

Mrisho com

JF-Expert Member
May 2, 2015
3,899
3,937
Mwenye kufahamu ili atusaidie, natumia gb whatsapp ila nikitaka kutuma picha au video kwa mtu au status basi ubora hushuka mpaka najishangaa, tatizo nini nimejaribu kufuatiria kwenye whatsapp settings nikaweka BEST QUALITY lakini hamna kitu.

Mwenye ujanja wa hili jambo hebu tusanue kidogo
 
Inashusha ubora kweli

Kama ni picha na video za kazi tumia email Mkuu. Hata kwa audio quality inanyonywa sana kwa social Apps
 
Document aiweke kwenye pdf?
No unatuma kama picha au video
25C99357-ABA7-48A6-ACDE-B7EC7268D896.jpeg
BC478057-7052-4BB5-A19A-27ED4ED0D0F5.jpeg
 
Ingia kwenye chat na huyo mtu .....
Bonyeza kitufe Cha kama unataka kumtumia picha then select hiyo picha then ikishakuja pale mbele huku upande wa chini ukikutaka uwrite something before hujaclick send.

Angalia upande wa juu utaona sehemu imeandikwa "HD" ,....bonyeza pale then utaselect quality ya juu zaidi then utatuma na itafika swaaaaafi kabisa na quality yake.......

Ahsante.
 
WhatsApp inashusha quality ina "compress" media ili kupunguza size so iende haraka na isitumie bando sana.

Kama unataka kuwa na uhakika wa file kutobadilishwa tumia Google Drive au Dropbox, kuna trick na setting za WhtsApp pia kama kutuma kama Document ile hizi zinabadilika kila siku so ni shida tu.
 
Tatizo simu zenu zina camera yenye Megapixel 500, unategemea nn. Wanabinya ili msiwajazie server zao
 
Back
Top Bottom