GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Dar es salaam ulikuja lini? Tuanzie hapo kwanza...maana jibu lako ni la msingi sana...
Si tu kwamba Dar es Salaam nimekuja lini bali nakusaidia tu kuwa nimezaliwa hapa hapa Mkoani Dar es Salaam tena Wilaya ya Wajanja ya Ilala ( kwa Watoto wa Mjini kabisa ) na katika Hospitali ambayo nina uhakika hutowahi au huna uwezo wa Kwenda Kutibiwa hapo ( sana sana labda utaenda tu Kumuangalia Mgonjwa wako ) iliyopo Baharini kabisa ya Agha Khan jirani na Ikulu na Viwanja wa Gymkhana mbele ya Madaktari Wawili wa Kike kutoka nchini Uingereza Agatha na Caroline Siku ya Jumanne Saa 12 na dakika 45 za asubuhi.
Nasubiri Hoja yangu nyingine ' Pimbi ' mkubwa Wewe!