Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Sasa wewe mkimbizi unamtesa nani? Unamhangaisha nani? Nani anahangaika na wewe kwanza enh? Mimi kuzijua falsafa zako zinaweza kusaidia nini katika maisha yangu au hata ya wana JF wengine kama mimi nikiwa mpumbavu basi wewe utakua ni mpumbavu kiongozi maana hakika huo upumbavu umenifundisha wewe hapo sasa wewe ndo mpumbavu uliepitiliza viwango maana unawadharau na kuwasanifu watu usiowajua tena wa mtandaoni..kwa kifupi kwenye hii dunia ya kufikirika ya mtandaoni haswa jamiiforums wewe ni mkimbizi iwe ni kweli ama si kweli hilo sio swala la mjadala..na wala kujua ukweli wala kutokujua ukweli haiwezi saidia kitu..sawa bwana mkimbizi..?Aliyekuambia Mimi ni Mkimbizi au Mnyarwanda au Mtutsi nani? Hivi unawezaje Kuthibitisha Uraia wa Mtu kwa Mabandiko yake tu hapa Jamvini? Yaani kuna Watu huwa nikiwa nawaambieni kila Uchao kuwa ni ' Wapumbavu ' msiwe mnakataa na Kukasirika kwani huwa nakuwa sahihi kwa 100%. Na natamani Siku moja ujue ni sababu ipi Kubwa iliyonifanya niji ' Brand ' kama Mnyarwanda tena Mtutsi hapa Jamvini na kwamba kwa Kufanya Kwangu huko kumesaidia nini, wapi na mahala fulani tofauti na vile ambavyo Mpumbavu Wewe na Wenzako mnadhani. Huna ' IQ ' ya kuweza Kumsoma na Kumjua vyema GENTAMYCINE muelekeo wake au anafanya nini au Fikra za Falsafa zake zipoje ila kwa wenye Akili Kukuzidi hapa Jamvini wameshajua mbinu yangu Kuu na huwa nalenga nini hasa au Kitu gani. au unadhani haya maneno ya " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " yapo tu Kimakosa? Bishana na unaofanana nao Kiakili za Kiupumbavu ila huwa nafurahi sana jinsi ninavyowateseni, kuwahamisheni mawazo yenu, kuzisumbua Akili zenu na mnavyohangaika nami huku nikizidi tu Kuwasanifu na Kuwadharau.