Kwanini vichaa wengi hunasibishwa na Usalama wa Taifa? Inakera sana

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Kila ukikutana na Watanzania wasioelewa mambo wakiona kichaa muokota makopo unasikia kwamba ni afisa usalama!

Ifike hatua mbadili mtazamo, Dunia ya sasa na teknolojia tuliyonayo si mnadhani kichaa au mtu analazimishwa kujifanya kichaa ili apate habari za ku report?

Maana nashangaa hata watu wenye elimu kubwa wanaamini katika upuuzi huu, hamjui mnawakera wenyewe TISS?
 
Kila ukikutana na Watanzania wasioelewa mambo wakiona kichaa muokota makopo unasikia kwamba ni afisa usalama!

Ifike hatua mbadili mtazamo, Dunia ya sasa na teknolojia tuliyonayo si mnadhani kichaa au mtu analazimishwa kujifanya kichaa ili apate habari za ku report?

Maana nashangaa hata watu wenye elimu kubwa wanaamini katika upuuzi huu, hamjui mnawakera wenyewe TISS?
Hadi Chidi Benz wanasema ni afisa usalama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye suala la ukusanyaji taarifa huwezi kuachia teknolojia itumike utafeli sana.

Ukitaka upate taarifa husika vaa ngozi ya mazingira yale unayochunguza.

Vichaa wapo na hawatakuja kuisha na ni njia nzuri sana ya kupata taarifa.
Nakubaliana na wewe
 
Kila ukikutana na Watanzania wasioelewa mambo wakiona kichaa muokota makopo unasikia kwamba ni afisa usalama!

Ifike hatua mbadili mtazamo, Dunia ya sasa na teknolojia tuliyonayo si mnadhani kichaa au mtu analazimishwa kujifanya kichaa ili apate habari za ku report?

Maana nashangaa hata watu wenye elimu kubwa wanaamini katika upuuzi huu, hamjui mnawakera wenyewe TISS?
Kwani unateseka mkuu? Au ndio kile kikao cha leo asubuhi kilichoongozwa na mzee B.L mmekubaliana mtuletee maazimio yenu. Hongereni...
 
Kwenye suala la ukusanyaji taarifa huwezi kuachia teknolojia itumike utafeli sana.

Ukitaka upate taarifa husika vaa ngozi ya mazingira yale unayochunguza.

Vichaa wapo na hawatakuja kuisha na ni njia nzuri sana ya kupata taarifa.
Mkuu acha mambo hayo hakuna njia nyingine mpaka atumike mtu kujifanya kichaa?

Kwani mtu wa kawaida hawezi kusanya taarifa katika mazingira ya kawaida mpaka awe kujifanya kichaa?

Kwani madili ya kuibia serikali au maovu yanafanyika kwenye mkusanyiko wa vichaa?
 
Huyu jamaa anaitwa Shaban John Ladslaus, sasa hivi anafanya kazi ubalozi wa Tanzania nchini Uswiss....
479.jpg
Ndiyo namba yake ya usajili ni VP 6695
 
Mkuu acha mambo hayo hakuna njia nyingine mpaka atumike mtu kujifanya kichaa?

Kwani mtu wa kawaida hawezi kusanya taarifa katika mazingira ya kawaida mpaka awe kujifanya kichaa?

Kwani madili ya kuibia serikali au maovu yanafanyika kwenye mkusanyiko wa vichaa?
Kupata taarifa siyo kazi rahisi hivyo, ina mazingira magumu na kila sehemu huwa na weakness zake katika kukusanya taarifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom