Hakuna aliyejua kwa uhakika kama Trump angekuwa rais wa 45 wa Marekani lakini ndio hivyo amekuwa.
Watu walifikiri David Cameroon angemaliza muda wake kama waziri mkuu wa Uingereza, yalitokea ya kutokea kutoka kusikotarajiwa hakumaliza
Kuna yumkini nyingi mno katika siasa na sasa hasa katika ulimwengu huu wa sasa ambako wanadamu wanapata taarifa kwa haraka, kwa undani na kwa usahihi zaidi kuliko siku za nyuma
Hii inawapa uwezo watu kuamua kwa haraka mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kubadilisha misimamo na mitizamo yao
Mabadiliko siku hizi ni kama jadi na hakuna anayeweza kujua nini kinafuata kwa mwanadamu ambaye ndiye MWAMUZI wa mambo hatabiriki tena siku hizi
Watawala wanalijua hili na linawatia hofu kubwa, chochote chaweza kutokea kwani WAPINZANI walishafikisha hadi 40% ya kura zote pamoja na MBINU zote za watawala na kuifanya serikali iliyopo kuwa iliyochaguliwa na watu wachache zaidi katika historia yetu (54% ya kura zote). Na hapo ni baada ya MBINU kubwa sana kutumika. Kwa hiyo HOFU ni kubwa sana kwani haijulikani nini kitatokea siku zijazo.
Watu walifikiri David Cameroon angemaliza muda wake kama waziri mkuu wa Uingereza, yalitokea ya kutokea kutoka kusikotarajiwa hakumaliza
Kuna yumkini nyingi mno katika siasa na sasa hasa katika ulimwengu huu wa sasa ambako wanadamu wanapata taarifa kwa haraka, kwa undani na kwa usahihi zaidi kuliko siku za nyuma
Hii inawapa uwezo watu kuamua kwa haraka mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kubadilisha misimamo na mitizamo yao
Mabadiliko siku hizi ni kama jadi na hakuna anayeweza kujua nini kinafuata kwa mwanadamu ambaye ndiye MWAMUZI wa mambo hatabiriki tena siku hizi
Watawala wanalijua hili na linawatia hofu kubwa, chochote chaweza kutokea kwani WAPINZANI walishafikisha hadi 40% ya kura zote pamoja na MBINU zote za watawala na kuifanya serikali iliyopo kuwa iliyochaguliwa na watu wachache zaidi katika historia yetu (54% ya kura zote). Na hapo ni baada ya MBINU kubwa sana kutumika. Kwa hiyo HOFU ni kubwa sana kwani haijulikani nini kitatokea siku zijazo.