mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,613
- 23,745
boris yelstin alikuw mjanj katik kuvunj ussr,aliakikish kuw 80% ya silaa zote za nuclear zipo ndani ya urusi kish akawambia ukraine kam wanatak uhuru basi sharti la kwanz ni lazim warudish 7% ya silaa za nuclear zilizolokuwep ukraine ndo wapewe uhuru wao.ukraine wakarudish silaa zote za nuclear,kazakstan na belarus wao walisem ni gharam kubw kuziudumia wakamwambia urusi azichukue tu.kw iyo silaa zote za nuclear zikaw kweny ardhi ya nuclear