MoroGent
Senior Member
- Jan 10, 2018
- 146
- 460
Salamu wakuu,
Huu ni mshangao wangu na watu wengi kuona Irani inapigwa alafu Urusi yupo kimya hajasema lolote mpaka sasa. Kwangu mimi nilitegemea mashambuluzi ya marwkani itakuwa ndo sababu ya Utusi kumkingia kifua Irani na ingeweza kupelekea WW3, lakini haijawa ivo.
Nafikiria sababu nne zinazopelekea Urusi kutotoa msaada:
1. Iko bize na vita vyake na Ukraine na kwa ivo haiwezi anzisha vita juu ya vita
2. Biashara ya mafuta inainufaisha Urusi kwa kuwa ni mzalishaji mkubwa na bei imepanda kwa sababu ya vita ya Irani, kwa ivo maslahi kwanza
3. Uhusiano mzuri wa Urusi na Saudia pamoja na UAE hautakuwi kuharibika, kwa kuwa saudia na UAE wanamdiss sana Irani na wanatka aanguke ivo Urusi kumuunga mkono Irani anaweza kuwakera hawa marafiki wazuri na wenye faida zaidi kwake
Kwako wewe unaona sababu gani inamuweka mbali URUSI kwa IRANI?
Huu ni mshangao wangu na watu wengi kuona Irani inapigwa alafu Urusi yupo kimya hajasema lolote mpaka sasa. Kwangu mimi nilitegemea mashambuluzi ya marwkani itakuwa ndo sababu ya Utusi kumkingia kifua Irani na ingeweza kupelekea WW3, lakini haijawa ivo.
Nafikiria sababu nne zinazopelekea Urusi kutotoa msaada:
1. Iko bize na vita vyake na Ukraine na kwa ivo haiwezi anzisha vita juu ya vita
2. Biashara ya mafuta inainufaisha Urusi kwa kuwa ni mzalishaji mkubwa na bei imepanda kwa sababu ya vita ya Irani, kwa ivo maslahi kwanza
3. Uhusiano mzuri wa Urusi na Saudia pamoja na UAE hautakuwi kuharibika, kwa kuwa saudia na UAE wanamdiss sana Irani na wanatka aanguke ivo Urusi kumuunga mkono Irani anaweza kuwakera hawa marafiki wazuri na wenye faida zaidi kwake
Kwako wewe unaona sababu gani inamuweka mbali URUSI kwa IRANI?