Sasa hao jamaa kizazi chako kiko wapi sasa.!Hata Wareno kutawala nchi za bara la Afrika kwa miaka mia tano inatafsiriwa kuwa ni kama kulipa kisasi..
Wengi walioa mabinti wa kihispania na kireno pamoja na kiarabu kwasababu waliitawala Iberia kwa miaka 800 waliorudi Afrika walikuwa ni weupe wala na inasemekana walitikomea kwenye jangwa la sahara.Sasa hao jamaa kizazi chako kiko wapi sasa.!
Hakuna duniani mtu asiependa starehe sema shida tu.Ni wale wazungu wapenda starehe
View attachment 792389
Moja y a mitaa ya mji wa Lisbon Ureno.
laana ya mababu zetu,hawa watu wanatabia za kupe. Japo Ronaldo peke yake anaweza kuilisha portugal kwa miaka 10
View attachment 791374
Ukiiangalia vizuri picha, jasusi Richard Burton utaona kovu kwenye shavu la kushoto ambapo mkuki uliingia mdomoni na kutokea kwenye shavu.