Kwanini ung'atwe ovyo!!

Fact
 
 
Maoni ya mvaa dera na kukatika kwenye dala dala
Na matarymbeta
 
Mleta Mada kama huna Bahati ya kupendwa na wanaume
Waache wenzio wavinjari
Siku zoote mnaambiwa msiombe Uzuri ombeni bahati
 
Huo ni uoga wa kukimbia changamoto.

Ni sawa na mangi afunge duka kisa kapata loss
 
Ukiona hyo ujue hujampenda, mapenzi ni uvumilivu na kuchukuliana mapungufu, ukikosewa ongea mrekebishe na sio kukimbia.

Ukijua kwamba binaadam hatujakamilika basi utakuwa mvumilivu kwa mwenzio na utakuwa unajitahidi kujenga zaidi ya kubomoa. Mtoa uzi kwa hili umekurupuka aisee
 
Ukisoma hiipost between lines mtoa mada ametoka kuvurugwa hata hajafanya tathmini amekuja hapa bado kajaa upepo.

Maamumuzi mazuri huwezipata mtandaoni kaa chini waza kwa nini mnapitia hayo mnayoyapitia jiulize chanzo ni nini?

Lakini pia mnatakiwa kujua wanaume na wanawake wote ni binadamu, na kwa asili yao kukengeuka na kukosea ni jadi yao.... Hata adamu na hawa walimkosea Mungu pamoja na ukaribu wote waliokua nao kwa Mungu.

Utasepa kwa mr X ukienda kwa Y ndio mbaya Aidi utaondoma utaenda kwa Z utagundua bora yule wa kwanza ukitaka kurudi nafasi imejaa.


Pia kumbukeni kinadada mpo wengi kwa sasahivi wanaume hawapati shida kama zamani maneno mawili tayari. Hivyo hii inafanya wanaume wasione hatari au kuondoka kwa mmoja haina shida maana mwingine atachukua nafasi faster.


Ndoa au mahusiano ya m/mume na m/mke yanahitaji kuvumiliana kujitoa na kusahihishana. Kuachana iwe tu pale inapobidi, sio kwa kujAna upepo
 
Halafu we bibie nakutafuta ujue
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…