Kwanini unaoa au kuolewa?

savo

JF-Expert Member
Sep 14, 2015
278
204
Habari wana Jf ? Hivi ushawahi jiuliza hivi kwanini unaoa au kuolewa maana mi binafsi naiona moja tu ntaoa ili nipate familia sijui, wenzangu mtaoa au kuolewa ili iwaje?

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Sababu ni nyingi na hutegemea mtu na mtu...
Wengine wanaoa ili kupata wenza wa kudumu, wengine ili kuachana na biashara ya kutongoza mara kwa mara, wengine ili kuzaliana kwa nafasi, wengine ili kupata uhakika wa mtu wa kujamiiana naye kila apatapo hamu, wengine kutafuta company, wengine kuondoa upweke, wengine kukidhi matakwa ya kiukooo au kifamilia, wengine kuondoa gundu, wengine msukumo wa kidini n.k
 
Sababu ni nyingi na hutegemea mtu na mtu...
Wengine wanaoa ili kupata wenza wa kudumu, wengine ili kuachana na biashara ya kutongoza mara kwa mara, wengine ili kuzaliana kwa nafasi, wengine ili kupata uhakika wa mtu wa kujamiiana naye kila apatapo hamu, wengine kutafuta company, wengine kuondoa upweke, wengine kukidhi matakwa ya kiukooo au kifamilia, wengine kuondoa gundu, wengine msukumo wa kidini n.k
Gundu inakuaje mzee

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Gundu inakuaje mzee

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Wako watu huamini kama haolewi au haoi basi ni kwa sababu ana gundu so atatafuta mtu amuoe kwa njia yoyote ile ili aondoe gundu.

Hata hivyo ndoa nyingi za aina hii huwa hazidumu.
 
Sio Lazima Kuoa au Kuolewa wengine wanataka Tuwajaze Mimba hawataki Kuolewa

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Sio Lazima Kuoa au Kuolewa wengine wanataka Tuwajaze Mimba hawataki Kuolewa

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Mzee utapigwa ndoa ya mkeka mana siku hizi hawataki watoto wao wazalie home

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Mbona wakioana sio wazinzi tena mkuu

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Ndoa za siku hizi hazina maana zaidi ya ngono na show off kwamba fulani nae kaoa na kuoa wanaoana ili kuficha matendo yao ya ajabu ajabu
 
Ninavyojua mimi ni kutokana na sababu za Mungu ambaye aliona kuwa mwanaume hawezi kuwa peke yake na akaamua kumchagua mwanamke awe msaidizi wake pia alisema tuungane na kuwa mwili mmoja hivyo kuzaa na kuongeza idadi ya watu kwa mpangilio maalumu alioupanga na sio kuzaa hovyo kama viumbe hai wengine.
Hii inaweza ikawa sababu kuu ya watu kuoa na kuolewa, kinyume na hapo ni kuupinga mpango wa Mungu.
 
Ndoa za siku hizi hazina maana zaidi ya ngono na show off kwamba fulani nae kaoa na kuoa wanaoana ili kuficha matendo yao ya ajabu ajabu
Ila kwa kuficha matendo ya ajabu ni kwl mkuu ila anaye ongoza kati ya mwanamke na mwanaume nani kamzidi mwenzie

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Ila kwa kuficha matendo ya ajabu ni kwl mkuu ila anaye ongoza kati ya mwanamke na mwanaume nani kamzidi mwenzie

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Hawazidiani ... Wote wanalingana
 
Wapo wanaoolewa kupata uhakika wa milo na hela ya mchezo...
Wapo wanaoolewa jamii iwaone nawao wamepata wakuwastiri...
 
Wapo wanaoolewa kupata uhakika wa milo na hela ya mchezo...
Wapo wanaoolewa jamii iwaone nawao wamepata wakuwastiri...
Kupata hela hapa ndo kila kitu wanawake wataka waolewe eti wawe na uhakika wa hela za kula tu na show off

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom