Kwanini unamchukia microsoft edge! !

Kwanini unamchukia microsoft edge! !

View attachment 2796780

Hivi kwanini watu hawapendi kutumia Microsoft edge kuliko google chrome??

Unajua wanachokifanya Microsoft edge Sasa

Kampuni ya Microsoft kupitia program yao ya Microsoft Kwa muda Mrefu wameweka mfumo wa watu kuweza kutoa maoni Kwanini watu wengi wanatumia Google chrome badala yao.

Kama ukiwa unatumia window 10 au 11 alafu ukafungua program ya Microsoft Edges ukiwa unapakua program ya Google chrome ndani yake Kuna ujumbe unatokea Kwenye page ya Google chrome wanakuomba usiache kutumia Microsoft edge.

Microsoft wameamua kuandaa survey kwa watu kwa kutoa maoni yao Kwanini watu wengi wanatumia program ya Google chrome badala ya Edge ili waweze kujua mapungufu yao waweze kutatua.

Unatumia program gani Microsoft edge au google chrome ??
Na kumbuka hata edge inatumia v8 engine ambayo ni open source ya Google. So technically waliamua kupita na technology ya Google
 
Ina news mbazo sio za lazima, search engine yao ya bing sio powerful
 
Jamiiforums kwenye simu ukitumia edge iko vizuri sana, inakubali kuset font size, tofauti na chrome ambayo inabadili heading pekee.
 
Ina news mbazo sio za lazima, search engine yao ya bing sio powerful
Hapo ni chaguo lako mwenyewe
1000000675.png
 
Jamiiforums kwenye simu ukitumia edge iko vizuri sana, inakubali kuset font size, tofauti na chrome ambayo inabadili heading pekee.
1000000676.png

Hakuna news zozote hapo, inategemea wewe mwenyewe tu.
 
M
View attachment 2796780

Hivi kwanini watu hawapendi kutumia Microsoft edge kuliko google chrome??

Unajua wanachokifanya Microsoft edge Sasa

Kampuni ya Microsoft kupitia program yao ya Microsoft Kwa muda Mrefu wameweka mfumo wa watu kuweza kutoa maoni Kwanini watu wengi wanatumia Google chrome badala yao.

Kama ukiwa unatumia window 10 au 11 alafu ukafungua program ya Microsoft Edges ukiwa unapakua program ya Google chrome ndani yake Kuna ujumbe unatokea Kwenye page ya Google chrome wanakuomba usiache kutumia Microsoft edge.

Microsoft wameamua kuandaa survey kwa watu kwa kutoa maoni yao Kwanini watu wengi wanatumia program ya Google chrome badala ya Edge ili waweze kujua mapungufu yao waweze kutatua.

Unatumia program gani Microsoft edge au google chrome ??
Natumia Edge kwenye laptop na desktop na chrome kwenye handhelds.
 
Microsoft edge ni nzuri kwenye pc. Huwa wanakuwa na wallpaper za background nzuri zikiwa na news na habari tofauti kabla ya kuanza kuresearch wanazi update

Ukija kwenye Chrome kea pc ni mbovu hazina mvuto
 
Duuh me hata sijui ni kwanini siipendi.😂
 
Back
Top Bottom