Kwanini unaishi Dar es salaam?

Kwanini unaishi Dar es salaam?

Dar ni sehemu yenye raha nyingi kama kulivyo na karaha nyingi pia. Japo kwangu nikipima naona karaha ndio zimezidi.

Ni kawaida sana kukuta misururu ya foleni ya watu wakigombea usafiri tena unakuta ni mida mibovu kabisa. watu wanalundikwa kwenye daladala na mwendokasi utadhani ni bidhaa. hata km una usafiri binafsi foleni ni kila kona.

Ukitaka kuwahi sehemu ili uwahi asbh kwa mfano hospitali bac hakikisha unaamka mapema sana tena ikiwezekana saa nane uko au tisa usiku.

Hali ya usafi mitaani mitaa michafu, vyoo vya paspoti na kuwekwa mapipa chini, , mapusha na wateja wao wa madawa ya kulevya, wadangaji, chemba zilizowazi zinazochangia hewa chafu ni changamoto na kero zingine lundo. Licha ya haya yote kuna mtu humtoi nje Dar!

Sasa ndugu yangu wew nini hasa kinachokufanya ung'ang'anie kuishi mahali yenye karaha hivyo.

Mnaongangania kuishi huko niwajulishe tu nje ya Dar kuna maisha pia. Tena maisha ya stress kabisa na kila kitu kinaenda sawa.
Taja Jiji duniani ambalo lina population ya zaidi 5 Million ,ambalo halina shida ya
  • watu kujazana na kuhombania usafiri....
  • Foleni ya magari
 
Taja Jiji duniani ambalo lina population ya zaidi 5 Million ,ambalo halina shida ya
  • watu kujazana na kuhombania usafiri....
  • Foleni ya magari
Hong Kong Ina watu milion 7 na yenyewe wamagombania magari ?


New York ina watu milion 8 na wenyewe wanagombania magari ?


Nimekuwekea public transport za Hong Kong na New York


Tembeeni acheni kuishi hapo Buza unaona na kudhani Dunia nzima inaishi hivyo Kwa kurukia daladala kama manyani.
 

Attachments

  • shutterstock_796014226.0.jpg
    shutterstock_796014226.0.jpg
    199.6 KB · Views: 15
  • stock-photo-vector-illustration-of-hong-kong-public-transport-2269413405.jpg
    stock-photo-vector-illustration-of-hong-kong-public-transport-2269413405.jpg
    362.6 KB · Views: 12
Hong Kong Ina watu milion 7 na yenyewe wamagombania magari ?


New York ina watu milion 8 na wenyewe wanagombania magari ?


Nimekuwekea public transport za Hong Kong na New York


Tembeeni acheni kuishi hapo Buza unaona na kudhani Dunia nzima inaishi hivyo Kwa kurukia daladala kama manyani.
Hapo umeweka aina za usafiri mkuu,,ambazo kwa Dar nazo tunazo...

Dar kuna usafiri wa
  • Mabasi
  • Taxi
  • Bolt/Uber/Farasi
  • Bajaji/Boda/Baiskeli/Guta
  • Reli
  • Boti/Ngalawa/Ferry
  • Ndege/Helicopter
Yani hapo ni hela yako tu,
Na mtu unaweza kuwa public transport masaa 24...
 
Hong Kong Ina watu milion 7 na yenyewe wamagombania magari ?


New York ina watu milion 8 na wenyewe wanagombania magari ?


Nimekuwekea public transport za Hong Kong na New York


Tembeeni acheni kuishi hapo Buza unaona na kudhani Dunia nzima inaishi hivyo Kwa kurukia daladala kama manyani.
Sasa wewe umetaja miwili ,mi nakupa orodha nzima ya miji mikubwa ya over 5 million ujionee.....


source: CBS
Halafu uje useme haujaona hayo majiji yako.
 
Dar ni sehemu yenye raha nyingi kama kulivyo na karaha nyingi pia. Japo kwangu nikipima naona karaha ndio zimezidi.

Ni kawaida sana kukuta misururu ya foleni ya watu wakigombea usafiri tena unakuta ni mida mibovu kabisa. watu wanalundikwa kwenye daladala na mwendokasi utadhani ni bidhaa. hata km una usafiri binafsi foleni ni kila kona.

Ukitaka kuwahi sehemu ili uwahi asbh kwa mfano hospitali bac hakikisha unaamka mapema sana tena ikiwezekana saa nane uko au tisa usiku.

Hali ya usafi mitaani mitaa michafu, vyoo vya paspoti na kuwekwa mapipa chini, , mapusha na wateja wao wa madawa ya kulevya, wadangaji, chemba zilizowazi zinazochangia hewa chafu ni changamoto na kero zingine lundo. Licha ya haya yote kuna mtu humtoi nje Dar!

Sasa ndugu yangu wew nini hasa kinachokufanya ung'ang'anie kuishi mahali yenye karaha hivyo.

Mnaongangania kuishi huko niwajulishe tu nje ya Dar kuna maisha pia. Tena maisha ya stress kabisa na kila kitu kinaenda sawa.
We kipato xhako kidogo na unaishi mbagala au chanika utaichukia tu Dar,tafuta hela uhamie kwa wastaarabu uone raha ya jiji
 
Back
Top Bottom