Kwanini unaishi Dar es salaam?

Kwanini unaishi Dar es salaam?

Wafanya biashara wakubwa wanakuja dar kufunga mizigo ndo wapeleke huko mikoani, halafu ntu aseme dar mnang'ang'ania nini kweli? kama sababu ni maisha magumu, hebu tumchukue anayeishi maisha magumu mkoani na anayeishi maisha magumu dar yupi anaunafuu?, hata ulaya wapo wanaoishi maisha magumu lakini kila mtu anatamani afike ulaya
 
Dar ni sehemu yenye raha nyingi kama kulivyo na karaha nyingi pia. Japo kwangu nikipima naona karaha ndio zimezidi.

Ni kawaida sana kukuta misururu ya foleni ya watu wakigombea usafiri tena unakuta ni mida mibovu kabisa. watu wanalundikwa kwenye daladala na mwendokasi utadhani ni bidhaa. hata km una usafiri binafsi foleni ni kila kona.

Ukitaka kuwahi sehemu ili uwahi asbh kwa mfano hospitali bac hakikisha unaamka mapema sana tena ikiwezekana saa nane uko au tisa usiku.

Hali ya usafi mitaani mitaa michafu, vyoo vya paspoti na kuwekwa mapipa chini, , mapusha na wateja wao wa madawa ya kulevya, wadangaji, chemba zilizowazi zinazochangia hewa chafu ni changamoto na kero zingine lundo. Licha ya haya yote kuna mtu humtoi nje Dar!

Sasa ndugu yangu wew nini hasa kinachokufanya ung'ang'anie kuishi mahali yenye karaha hivyo.

Mnaongangania kuishi huko niwajulishe tu nje ya Dar kuna maisha pia. Tena maisha ya stress kabisa na kila kitu kinaenda sawa.
Wewe unaona pabaya kwa sababu uliishi Darsalam(Kwamtogole, Mburahati, Kwa bi Nyau, Kwamkunduge(Tandale), Kwa tumbo au uwanja wa Fisi, Kwamnyamani, Kisemvule). Lakini wale wanaoishi DAR(Masaki, Slipway, Penninsula, Oysterbay, Kenyatta Drive) hata hawalalamiki kama wewe. Ushauri wangu kwako. Tafuta pesa hakuna dagaa wa nyama. Dagaa ni dagaa😀😀😀
 
Dar es salaam ni kama mikoa mingine tu, uzuri wa daslam hata ukiuza karanga zinatoka, sasa hapo Dodoma unamuuzia nani karanga? mbeya utaitegemea biashara ya karanga? si utakuwa mgonjwa, lakini daslam hizo karanga zimeongezewa thamani zinauzika na ni biashara kubwa tu.

Daslam Kuna magodown mengi kiasi kwamba kama una nguvu zako za kubeba mizigo hela hukosi na watu wameboresha maisha kwa njia hiyo, ukizungumzia changamoto kila sehemu kuna changamoto, huko mikoani ni kweli hakuna foleni lakini barabara ni mbovu kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine, ni safari ya siku nzima, mfano tu kutoka Morogoro mjini kwenda wilaya ya Ulanga/Mahenge ni shughuli pevu, wakat hapa kutoka Ilala kwenda kibindoni unatembea kwa mguu

Mzunguko wa hela daslam ni mkubwa mno, yaani mtu kukupa msimbazi sio issue kubwa, mkoani mtu atakupa msimbazi kizembe bila kumtaarifu siku tatu kabla?
Kunywa UJI nalipa
 
Dar es salaam ni kama mikoa mingine tu, uzuri wa daslam hata ukiuza karanga zinatoka, sasa hapo Dodoma unamuuzia nani karanga? mbeya utaitegemea biashara ya karanga? si utakuwa mgonjwa, lakini daslam hizo karanga zimeongezewa thamani zinauzika na ni biashara kubwa tu.

Daslam Kuna magodown mengi kiasi kwamba kama una nguvu zako za kubeba mizigo hela hukosi na watu wameboresha maisha kwa njia hiyo, ukizungumzia changamoto kila sehemu kuna changamoto, huko mikoani ni kweli hakuna foleni lakini barabara ni mbovu kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine, ni safari ya siku nzima, mfano tu kutoka Morogoro mjini kwenda wilaya ya Ulanga/Mahenge ni shughuli pevu, wakat hapa kutoka Ilala kwenda kibindoni unatembea kwa mguu

Mzunguko wa hela daslam ni mkubwa mno, yaani mtu kukupa msimbazi sio issue kubwa, mkoani mtu atakupa msimbazi kizembe bila kumtaarifu siku tatu kabla?
Siku tatu kabla mnyapaaa, aisee hilo la ten,ukija mitunduruni unajizolea mamitoghoo,mamungunya,sasati,
Daslama ten nasikia unakula tu cha mchana na hapo haikutoshi kuweka japo mafuta ya gari
 
Usidhani Dar yote Ni kuchafu mm nimeishi pale na Wenda nikaziamisha biashara zangu Huko mbeleni uko
 
Siku tatu kabla mnyapaaa, aisee hilo la ten,ukija mitunduruni unajizolea mamitoghoo,mamungunya,sasati,
Daslama ten nasikia unakula tu cha mchana na hapo haikutoshi kuweka japo mafuta ya gari
Sasa mbona mchele Dar es salaam ni bei rahisi kuliko Dodoma? Mbona Daslam maji yanapatikana kuliko Dodoma?
 
Pale kijitonyama makumbusho mtaa wa bwawani jirani na soko la makumbusho siku hizi pamejaa watu wana shughuli nyingi sawa na kariakoo. Ilibidi tuhamie nje ya jiji huko chanika mbali kijijini ili kuondoka kwenye msongamano wa watu hapo makumbusho. Nyumba yenyewe haina hadhi ya kuwa eneo hilo itabidi tuiuze kama ploti tuondoke hapo twende kwenye sehemu isiyo na watu wengi. Dar ina kero nyingi kuliko starehe. Twendeni dodoma tukaijaze mpaka manyoni.
 
Mzunguko wa pesa ni mkubwa,ila mateso ni mengi kuliko raha.....mtu anaamka saa 10 alfajiri kuwahi kazini anarudi nyumbani saa 6 mpaka 7 usiku hajaoga hajala anakuja kulala saa 8 kesho tena anaamka saa 10 lini atapata kutuliza akili wanaoishi maisha mazuri ni wenye pesa na sio wabangaizaji.
 
mzunguko wa pesa ni mkubwa,ila mateso ni mengi kuliko raha.....mtu anaamka saa 10 alfajiri kuwahi kazini anarudi nyumbani saa 6 mpaka 7 usiku hajaoga hajala anakuja kulala saa 8 kesho tena anaamka saa 10 lini atapata kutuliza akili wanaoishi maisha mazuri ni wenye pesa na sio wabangaizaji.
nakazia mkuu
 
Dar ni sehemu yenye raha nyingi kama kulivyo na karaha nyingi pia. Japo kwangu nikipima naona karaha ndio zimezidi.

Ni kawaida sana kukuta misururu ya foleni ya watu wakigombea usafiri tena unakuta ni mida mibovu kabisa. watu wanalundikwa kwenye daladala na mwendokasi utadhani ni bidhaa. hata km una usafiri binafsi foleni ni kila kona.

Ukitaka kuwahi sehemu ili uwahi asbh kwa mfano hospitali bac hakikisha unaamka mapema sana tena ikiwezekana saa nane uko au tisa usiku.

Hali ya usafi mitaani mitaa michafu, vyoo vya paspoti na kuwekwa mapipa chini, , mapusha na wateja wao wa madawa ya kulevya, wadangaji, chemba zilizowazi zinazochangia hewa chafu ni changamoto na kero zingine lundo. Licha ya haya yote kuna mtu humtoi nje Dar!

Sasa ndugu yangu wew nini hasa kinachokufanya ung'ang'anie kuishi mahali yenye karaha hivyo.

Mnaongangania kuishi huko niwajulishe tu nje ya Dar kuna maisha pia. Tena maisha ya stress kabisa na kila kitu kinaenda sawa.
Chaos is a ladder,the climb is there all is, Dsm is a chaos.
 
Raha Karatu tu muda wowote unarusha nyoka tu.na vimiminika kila kona mitetea ya kumwaga kiwango cha Dubai
 
Back
Top Bottom