Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,926
- 4,523
Kuwa seriously kidogoKuwa Mkristo ina maana kuifuata njia ya uzima wa milele kupitia kwa Bwana Yesu Kristo, ambaye ni Mungu na ndiye Neno la Uzima lenye kuzishinda nguvu za mauti na kuzimu,
Lakini, ......
Kuwa Muislamu ni kufuata mafundisho ya Muhamadi ambaye ni mwanadamu aliyeshushiwa neno lisilokuwa la ahadi na mungu wake Allah, sina hakika kama kuna ahadi ya uzima wa milele ndani yake, yenye uwezo wa kuzishinda nguvu za mauti na kuzimu.
Yesu huyu huyu aliyekuwa anatumwa dukani na mama yake akanunue unga wa ngano na mafuta ya taa ndio Mungu wako?
Yesu huyo huyo aliyekuwa anacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya Leo hii amekuwa Mungu?