Kwanini UKAWA itashindwa vibaya?

Hebu acha kuongea propaganda za mwenyekiti wenu Mbowe. Hujui kuwa Mbowe na cohorts wake ndiyo wako bize kuchafua yeyote aliyepingana naye! Mtu asipokubaliana nae basi ni msaliti!

Kwanza nilitaka kujua wewe chama gani hilo nimepata jibu hivyo haina haja kubishana na watu waliofail in more than 50 years.
 
Kwanza nilitaka kujua wewe chama gani hilo nimepata jibu hivyo haina haja kubishana na watu waliofail in more than 50 years.

Hivi kwa akili yako kila mtu ana chama? Wengine ni wana mabadiliko na tulisapoti sana harakati za Chadema asilia ila si hawa Ukawa uchwara!
Lakini hujajibu point niliyokwambia. Mbowe ni mharibifu na mbinafsi na amekiuza chama! Dawa yake iko jikoni!
 
Yaani hapo ulichosema ni kwamba wapinzani wasiaminiwe kwa vile wanatumiwa na CCM. Kauli za namna hii ndio huwa zinawafanya wananchi wasichague vyama vya upinzani. Unadhani unaichafua ACT kumbe unachafua upinzani wote.

Mkuu kuna vijana wadogo wamekuwa mashabiki mandazi wa political personalities and know nothing about principles!
 
Mkuu kuna vijana wadogo wamekuwa mashabiki mandazi wa political personalities and know nothing about principles!

Anguko la Ukawa la mwaka huu litakuwa somo la utangulizi kwa siasa za vyama vingi barani Afrika.
 
Hivi kwa akili yako kila mtu ana chama? Wengine ni wana mabadiliko na tulisapoti sana harakati za Chadema asilia ila si hawa Ukawa uchwara!
Lakini hujajibu point niliyokwambia. Mbowe ni mharibifu na mbinafsi na amekiuza chama! Dawa yake iko jikoni!

Wewe unachama tena kijani,ungekua mwanamabadiliko husingekua na idea nyembamba kiasi hicho,put astray weakness za mbowe all we need ni kufumua mfumo wa chama dola na ndio lengo la mpinzani wa kweli then baada ya hapo ndo watu watajua njia bora ya kutawala,ukikuta mtu anatetea kijani na kudai ni mpinzani huo unafiki
 
Hivi kwa akili yako kila mtu ana chama? Wengine ni wana mabadiliko na tulisapoti sana harakati za Chadema asilia ila si hawa Ukawa uchwara!
Lakini hujajibu point niliyokwambia. Mbowe ni mharibifu na mbinafsi na amekiuza chama! Dawa yake iko jikoni!
We mpare, ulisapoti slaa and you never went outside the box
 
ACT wanaonekana kuwa wasikivu zaidi. Wakiendelea hivihivi watakuwa chama kikuu cha upinzani. Chadema wataponzwa na siasa za matukio...

Litakuwa jambo zuri pia. Kwa watu ambao hatuna maslahi binafsi na chama chochote tunatamani uwepo wa upinzani wenye nguvu na uwezo wa ushindani, bila kujali unatolewa na chama kipi. Cha muhimu wawe wanafanya juhudi za kweli kujenga demokrasia na kukibana sawa sawa chama tawala.
 
Hivi kwa akili yako kila mtu ana chama? Wengine ni wana mabadiliko na tulisapoti sana harakati za Chadema asilia ila si hawa Ukawa uchwara!
Lakini hujajibu point niliyokwambia. Mbowe ni mharibifu na mbinafsi na amekiuza chama! Dawa yake iko jikoni!

Kale malimao tu, mabadiliko ni lazima mwaka huu
 
hivi kwa akili zako fupi unadhani ccm itatolewa kirahisi hivyo? Thubutu, mpaka aje Yesu mara ya pili labda
 

I totally agree.
Wasichokijua wana Chadema/Ukawa na CCM ni kuwa, katika kundi hili tuko wengi tu ambao tungependa kuona siasa za principles na mikakati inayopimika badala ya ushabiki kama ilivyo sasa.
 
Mtaji wa siasa ni watu, mtaji huu huwa unakuwa mkubwa sana ikiwa watu hao watakuwa katika mazingira ya kufanya maamuzi kishabiki. Mara nyingi ushabiki huwa na matokeo mabaya kwenye siasa, tofauti na kwenye mipira au muziki kwani katika siasa baada ya mechi ndipo malipo ya ushabiki yanahitajika sana. Ni kupitia ushabiki ndipo umuhimu wa kampeni na kusikiliza sera unakuwa haupo kwasababu wanaotakiwa wasikilize sera, tayari washakuwa washabiki. Sera hazina maana tena.

Kwa bahati mbaya, mwaka huu uchaguzi umetawaliwa na ushabiki, kuzidi au sawa na ule wa 2005. Wanasiasa wa Tanzania wamejua kuwa Watanzania tunapenda kufanya mambo kwa kishabiki.

Kamwe tusiingie kwenye mtego wa ushabiki linapokuja suala la uchaguzi. Ushabiki tuuache majukwaa ya mpira na muziki. Hapa tuchague mtu aje atufanyie kazi tunayotaka ifanywe kwa takribani miongo kadhaa.

Inawezekana, epuka ushabiki.
 


Fikara nzuri sana. Kuongezea kwenye uliyoandika; pia tusidharau mambo mawili ambayo hayaongelewi sana:
  1. Udhalilishwaji wa Dr. Slaa, Prof. Lipumba n.k.: Wapo wengi ambao wamekatishwa tamaa na hili tendo. Kwa hiyo baadhi ya wafuasi wao sio ajabu hawatampigia kura LOWASSA na sio ajabu wakaamua hata kumpigia kura Magufuli.
  2. Wapo wana UKAWA wengi ambao hawamtaki LOWASSA: Sababu yao ni moja tu, UFISADI wake ambao wameupiga vita kwa miaka mingi. Hawa sauti zao zimenyamazishwa na wale wenye midomo mikubwa, lakini nina uhakika wapo wengi. Kwa hawa, sio ajabu wanashiriki hata kwenye mikusanyiko ya UKAWA lakini wakiulizwa na TWAWEZA, wanamchagua mtu tofauti na Lowassa.
 

Wengi tumekatishwa tamaa na wanasiasa wetu, ila hatuna namna na hatuna mtu wa kumzilia nchi yetu.

Ila hatutaacha kupiga kelele, japo sauti zetu zinazimwa kwa nguvu na wenye midomo mikubwa.

Naamini muda sio mrefu wataishiwa sauti, hapo ndipo tutakaposikika japo tutakuwa tumechelewa na kurudi hatua kadhaa nyuma.!
 


nashangaa tu:
katika andiko lililokosa maana, umeweza kuliona goli la mkono?
Ni kweli huelewi kushindwa vibaya au hutaki kuamini.
kwa chadema iliyopata chini ya 30% ktk chaguzi zote zilizotangulia, ikipata 40% hapo haijashindwa vibaya, lkn ikipata 10% itakuwa imeshindwa vibaya.
Msomaji mzuri naye anatakiwa kumsoma muandishi kila eneo na sio kuchagua paragraphs zinazomvutia tu!
 

Umejuaje ndicho alichomaanisha? Usishangae CDM wakipata 48 lakini wasishinde akasema ndio kushindwa vibaya hivyo...
 




Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Karangalala tayari kuhutubia wakazi wa Geita mjini.​

Umati ukiwa umefurika kumsikiliza mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Karangalala,Geita mjini.
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Geita mjini kwenye uwanja wa Karangalala ambapo aliwaeleza wakazi wa mji huo kuwa atahakikisha viwanda vinajengwa , wacimbaji wadogo wadogo wanapata maeneo ya kuchimba, ataboresha maslahi ya wafanyakazi , kuhakikisha madawa na huduma za afya zinakuwa bora zaidi na elimu bure kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…