wadau na ombeni msada wenu nashwindwa kuelewa kwa nini tuvuti nyingi za Tanzania zikiwemo za serekali na watu binafsi zinachapishwa kwa kingereza huku walengwa tukiwa ni raia wakawaida kabisa ambao wengi wetu hatuko vizuri na hiyo lugha
hilo lakwanza jambo jingine nathani hili linakera kuliko hilo lakwanza nimauthui ambayo yapo kwenye hizo tuvuti.
ngoja nitoe mf utakuta shirika, kampuni au taasisi inadai kwamba inafanya shughuli flani labda uendelezaji wa software lakini Zaidi ya ukurasa mmoja ambao ni broncher ambayo inaoyesha taasisi ambazo wanafanyanazo kazi hakuna taarifa zozote zile ambazo zina ushawishi wakutosha kwamba wao wanafanya hiyo kazi na wanaifahamu "technically"
kufupisha kitaalamu ilitakiwa kuwe kuna sehemu yakublog hapo walitakiwa wawe wanaelimisha katika kile ambacho wanakifanya hii ingesaidia kujenga
Uaminifu kati ya mpokeaji huduma na mtoa huduma
Lakini zaidi yahapo hayo ambayo wanakua
Wanafundisha kama unataka kutumia usemi huo
Yatakuwa naathari kubwa sana katika jamii
Nabinafsi sioni chochote kile watakacho poteza
Zaidi ya kuwa wazalendo kwenye jamii ambayo
Wanaihudumia.
Ningependa nihitimishe kwa kusemema
Fani ya teknologia imekuwa kwavile watu wame share na wanaendelea kushare ufahamuu wao
Kwa kasi hata kama umtu ameumia vipi
Kujua jambo flani lakini baada yakulijua
Ameshare ule utaalamu wake kitu ambacho
Kimekua nifursa siyo kwake tu bali na engine
Kwa kweli hapa tunabidi tubadilike tena kwa kasi haijalishi uko kwenye sector gani lakinini kushare mambo yenye tija ni minimum
Nathani kama kuna marketing strategy zuri ni hii.
Kwanini hatuifuati hapo ndipo napo hitaji mchango wako unathani kwamba shida iko wapi?
hilo lakwanza jambo jingine nathani hili linakera kuliko hilo lakwanza nimauthui ambayo yapo kwenye hizo tuvuti.
ngoja nitoe mf utakuta shirika, kampuni au taasisi inadai kwamba inafanya shughuli flani labda uendelezaji wa software lakini Zaidi ya ukurasa mmoja ambao ni broncher ambayo inaoyesha taasisi ambazo wanafanyanazo kazi hakuna taarifa zozote zile ambazo zina ushawishi wakutosha kwamba wao wanafanya hiyo kazi na wanaifahamu "technically"
kufupisha kitaalamu ilitakiwa kuwe kuna sehemu yakublog hapo walitakiwa wawe wanaelimisha katika kile ambacho wanakifanya hii ingesaidia kujenga
Uaminifu kati ya mpokeaji huduma na mtoa huduma
Lakini zaidi yahapo hayo ambayo wanakua
Wanafundisha kama unataka kutumia usemi huo
Yatakuwa naathari kubwa sana katika jamii
Nabinafsi sioni chochote kile watakacho poteza
Zaidi ya kuwa wazalendo kwenye jamii ambayo
Wanaihudumia.
Ningependa nihitimishe kwa kusemema
Fani ya teknologia imekuwa kwavile watu wame share na wanaendelea kushare ufahamuu wao
Kwa kasi hata kama umtu ameumia vipi
Kujua jambo flani lakini baada yakulijua
Ameshare ule utaalamu wake kitu ambacho
Kimekua nifursa siyo kwake tu bali na engine
Kwa kweli hapa tunabidi tubadilike tena kwa kasi haijalishi uko kwenye sector gani lakinini kushare mambo yenye tija ni minimum
Nathani kama kuna marketing strategy zuri ni hii.
Kwanini hatuifuati hapo ndipo napo hitaji mchango wako unathani kwamba shida iko wapi?