Kwanini Tundu Lissu hafai kuwa Mwenyekiti wa TLS?

Travelogue_tz

JF-Expert Member
Sep 28, 2010
848
1,212
Habari wadau,

Kwa takribani wiki sasa kumekuwa na mjadala mkali juu ya Mgombea wa Uenyekiti wa TLS Mhe. /Mwanaharakati /Wakili Mahiri Tundu Antipas Lissu.

Nimaamini Kamati ya Uchaguzi ya TLS, kwa kuwa inaundwa na mawakili wote, Na katiba yao wanaifahamu kwa undani zaidi wamezingatia vigezo vyote vya kisiasa, kisheria na kimaadili kupitisha jina la Tundu Lissu, Na kwamba Lissu anakidhi sifa na Vigezo vya kuwa Mwenyekiti wao, wao Mawakili.

Hivyo basi ni jukumu Lao wenye chama kuamua matakwa yao bila ushawishi wa taasisi yeyote ya Nje.

Mjadala ulioanzishwa juu ya kumkataa Lissu umejengwa katika dhana ya Hofu, Uchama na Ukandamizaji wa taasisi zenye weledi katika kuhakikisha sheria za Nchi zinalindwa.

Hoja ya Mwakyembe kwamba Wajumbe wawe makini na kumchagua Lissu, Na kwamba anaweza kuifuta taasisi, sio tu ni kinyume cha sheria bali ni maelekezo mahsusi kwa Wagombea tofauti na Lissu, kwamba Serikali inawapigia kampeni Wagombea wengine kwa kigezo cha kukifuta chama.

Kwa kifupi Lissu anafaa, Na mawakili wanaoona nyakati, Na matakwa ya Nchi kwa sasa wanajua nini cha kufanya. Niwatakie Uchaguzi mwema. It's time to draw a bold line.

To go for Mwakyembe au To go for National Interest.
 
Wanasheria wa Tanzania wamelala mno .......... sasa ni wakati muafaka kupata Kiongozi atayewaamsha!! Wakipoteza hii nafasi basi itachukua muda mrefu sana kurudisha heshima yao!!

Wanasheria gani hao wanapelekeshwa kama Walimu ....................!!
 
Habari wadau,

Kwa takribani wiki sasa kumekuwa na mjadala mkali juu ya Mgombea wa Uenyekiti wa TLS Mhe. /Mwanaharakati /Wakili Mahiri Tundu Antipas Lissu.

Nimaamini Kamati ya Uchaguzi ya TLS, kwa kuwa inaundwa na mawakili wote, Na katiba yao wanaifahamu kwa undani zaidi wamezingatia vigezo vyote vya kisiasa, kisheria na kimaadili kupitisha jina la Tundu Lissu, Na kwamba Lissu anakidhi sifa na Vigezo vya kuwa Mwenyekiti wao, wao Mawakili.

Hivyo basi ni jukumu Lao wenye chama kuamua matakwa yao bila ushawishi wa taasisi yeyote ya Nje.

Mjadala ulioanzishwa juu ya kumkataa Lissu umejengwa katika dhana ya Hofu, Uchama na Ukandamizaji wa taasisi zenye weledi katika kuhakikisha sheria za Nchi zinalindwa.

Hoja ya Mwakyembe kwamba Wajumbe wawe makini na kumchagua Lissu, Na kwamba anaweza kuifuta taasisi, sio tu ni kinyume cha sheria bali ni maelekezo mahsusi kwa Wagombea tofauti na Lissu, kwamba Serikali inawapigia kampeni Wagombea wengine kwa kigezo cha kukifuta chama.

Kwa kifupi Lissu anafaa, Na mawakili wanaoona nyakati, Na matakwa ya Nchi kwa sasa wanajua nini cha kufanya. Niwatakie Uchaguzi mwema. It's time to draw a bold line.

To go for Mwakyembe au To go for National Interest.
hafai huyo big mouth ndio mwanzo wa tls kufutwa mkimchagua. atageuza tls chama kwenye ukawa. simnaona ukawa sasa ni chadema peke yake?
 
Shida ni weledi wa Lisu unawatia kiwewe ila ni zamu ya Lisu.
Maaana kwenye katiba watuburuza mpaka wanaona aibu kuileta ili tuipigie kula maana wanajua tutaikataa
 
hafai huyo big mouth ndio mwanzo wa tls kufutwa mkimchagua. atageuza tls chama kwenye ukawa. simnaona ukawa sasa ni chadema peke yake?
Kwa hiyo Waliompitisha Walikosea?? Kwamba Mwakyembe na wewe mko sahihi kabisa.?If that's the case nahisi Mawakili wataoneka wamekosea kwa matakwa yako na Gov, ila wenye chama wanatafuta mtu sahihi katika nyakati sahihi. Mawakili watanyakua fursa ambayo ni kumpata Lissu
 
hafai huyo big mouth ndio mwanzo wa tls kufutwa mkimchagua. atageuza tls chama kwenye ukawa. simnaona ukawa sasa ni chadema peke yake?
Hao TLS hawana katiba na miongozo ya kufuata? Ukawa na Chadema vimeingiaje kwenye mada hii?

Comments ndiyo mara nyingine zinatufanya wengine tuamini kuwa 1/4 vichaa, labda sababu ya mihadarati!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Habari wadau,

Kwa takribani wiki sasa kumekuwa na mjadala mkali juu ya Mgombea wa Uenyekiti wa TLS Mhe. /Mwanaharakati /Wakili Mahiri Tundu Antipas Lissu.

Nimaamini Kamati ya Uchaguzi ya TLS, kwa kuwa inaundwa na mawakili wote, Na katiba yao wanaifahamu kwa undani zaidi wamezingatia vigezo vyote vya kisiasa, kisheria na kimaadili kupitisha jina la Tundu Lissu, Na kwamba Lissu anakidhi sifa na Vigezo vya kuwa Mwenyekiti wao, wao Mawakili.

Hivyo basi ni jukumu Lao wenye chama kuamua matakwa yao bila ushawishi wa taasisi yeyote ya Nje.

Mjadala ulioanzishwa juu ya kumkataa Lissu umejengwa katika dhana ya Hofu, Uchama na Ukandamizaji wa taasisi zenye weledi katika kuhakikisha sheria za Nchi zinalindwa.

Hoja ya Mwakyembe kwamba Wajumbe wawe makini na kumchagua Lissu, Na kwamba anaweza kuifuta taasisi, sio tu ni kinyume cha sheria bali ni maelekezo mahsusi kwa Wagombea tofauti na Lissu, kwamba Serikali inawapigia kampeni Wagombea wengine kwa kigezo cha kukifuta chama.

Kwa kifupi Lissu anafaa, Na mawakili wanaoona nyakati, Na matakwa ya Nchi kwa sasa wanajua nini cha kufanya. Niwatakie Uchaguzi mwema. It's time to draw a bold line.

To go for Mwakyembe au To go for National Interest.
LISSU LISSU LISSU LISSU LISSU LISSU LISSU
 
Habari wadau,

Kwa takribani wiki sasa kumekuwa na mjadala mkali juu ya Mgombea wa Uenyekiti wa TLS Mhe. /Mwanaharakati /Wakili Mahiri Tundu Antipas Lissu.

Nimaamini Kamati ya Uchaguzi ya TLS, kwa kuwa inaundwa na mawakili wote, Na katiba yao wanaifahamu kwa undani zaidi wamezingatia vigezo vyote vya kisiasa, kisheria na kimaadili kupitisha jina la Tundu Lissu, Na kwamba Lissu anakidhi sifa na Vigezo vya kuwa Mwenyekiti wao, wao Mawakili.

Hivyo basi ni jukumu Lao wenye chama kuamua matakwa yao bila ushawishi wa taasisi yeyote ya Nje.

Mjadala ulioanzishwa juu ya kumkataa Lissu umejengwa katika dhana ya Hofu, Uchama na Ukandamizaji wa taasisi zenye weledi katika kuhakikisha sheria za Nchi zinalindwa.

Hoja ya Mwakyembe kwamba Wajumbe wawe makini na kumchagua Lissu, Na kwamba anaweza kuifuta taasisi, sio tu ni kinyume cha sheria bali ni maelekezo mahsusi kwa Wagombea tofauti na Lissu, kwamba Serikali inawapigia kampeni Wagombea wengine kwa kigezo cha kukifuta chama.

Kwa kifupi Lissu anafaa, Na mawakili wanaoona nyakati, Na matakwa ya Nchi kwa sasa wanajua nini cha kufanya. Niwatakie Uchaguzi mwema. It's time to draw a bold line.

To go for Mwakyembe au To go for National Interest.
personally sioni shida mh lissu kuwa rais wa TLS as long as anapambania Tanzania yetu,na vinginevyo ushindi kwake sitashangaa kamwe.
 
Lissu ana uwezo mkubwa sana kuliko hata wewe mleta nyuzi hii unawezaje kumkosoa mtu aliekuzidi wa kufikiri na kute na kutetea jambo nimepima uwezo wako kwa hoja yako dhaifu isiyo na mashiko...
 
Dr.Godbless,

Mmoja wa viongozi ambao hutakiwi kumtilia maanani ni Mwakyembe! Back then nilidhani Mwakyembe ni very smart kumbe hamna kitu!!!

Jana ndo kaleta za karne!! Wakati akihojiwa na EATV akadai alitaka kumkamata Agnes Masogange lakini akahamishwa wizara!!

Mwakyembe anadhani watu tumesahau kwamba Agnes Masogange alirudi Tanzania from South Africa mwaka 2013 wakati Mwakyembe alibadilishwa wizara mwaka 2015... yaani miaka 2 baadae!!! Lakini bado anataka kuaminisha watu kwamba alikuwa na nia ya kumkamata Masogange lakini alishindwa baada ya kuhamishiwa wizara nyingine!!!

Kati kati ya hicho kiroja akachomekea kingine kwamba mpambanaji wake dhidi ya dawa za kulevya amefungwa kiujanja ujanja ili kumnyamazisha!! Lakini wala hajasema ikiwa alitumia ushawishi wake na uwezo wake kuajiri wakili na kumkatia rufaa! Na wala hajasema amefanya nini kumnusuru huyo mpambanaji baada ya kuwa waziri wa sheria kwa takribani miezi 15 hivi sasa!! Na wala hajasema ikiwa alifikisha hiyo concern yake kwa rais wa sasa ambae tunaambiwa ni mtetezi wa wanyonge!!!

Kwahiyo, kama vipi wala huna haja ya kumtilia maanani!!!
 
Wanasheria wa Tanzania wamelala mno .......... sasa ni wakati muafaka kupata Kiongozi atayewaamsha!! Wakipoteza hii nafasi basi itachukua muda mrefu sana kurudisha heshima yao!!

Wanasheria gani hao wanapelekeshwa kama Walimu ....................!!
Mkuu kwa sasa tumeamka na tumesema basi. lissu anatosha for TLS President tumepanga kumpitisha kura zote za Ndio ili tuone CCM wakikifuta chama hiki halafu tukutane mahakamani. Hatuwezi kupelekeshwa kama watoto wadogo sisi
 
Back
Top Bottom