Hawa jamaa mi huwa si waelewi wana upumbavu wa aina gani vichwani mwao, kuna mkoa nilienda kila mlemavu ana barua ya ombaomba kutoka kwa RC, DC, RAS au DAC, hata kama anasoma shule ya kata ya elfu 20 ambayo haifikii hata bajeti ya chai ya RC kwa siku moja anayetumia zaidi ya laki mbili za walipa kodi kunywa chai na wapambe wake wilayani. Ufedhuli mtupu huu.