PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Wanajamvi nilikua naangalia TBC habari,na taarifa ya mwisho alionyeshwa kijana mmoja kwa jina JUMA MUSA ni mlemavu wa macho (kipofu) lakina alibahatika kufaulu na kuanza kudato cha kwanza (sikupata vyema ni mkoa gani na amechaguliwe shule gani) lakini hakuweza kuendelea na shule kutokana na wazazi wake kukosa uwezo wa kumsomesha.
chakushangaza ni kuwa hakukatatama ya kutafuta msaada.alìpita ofisi mbalimbali za serikali mpaka kwa mkuu wa mkoa na hata wa wilaya lakini msaada alioupata ni kupewa barua inayomruhusu kuwa ombaomba na kumwambia aende kuomba makanisani na msikitini
tunaenda wapi jamani? Walishindwa nini kumwezesha mlemavu huyu kuendelea na masomo? viongozi hawa wanamsaada gani kwetu kama wanashindwa na jamboa dogo kiasi hiki.
kweli tunasafari ndefu
chakushangaza ni kuwa hakukatatama ya kutafuta msaada.alìpita ofisi mbalimbali za serikali mpaka kwa mkuu wa mkoa na hata wa wilaya lakini msaada alioupata ni kupewa barua inayomruhusu kuwa ombaomba na kumwambia aende kuomba makanisani na msikitini
tunaenda wapi jamani? Walishindwa nini kumwezesha mlemavu huyu kuendelea na masomo? viongozi hawa wanamsaada gani kwetu kama wanashindwa na jamboa dogo kiasi hiki.
kweli tunasafari ndefu