Hilo nalo neno ...😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀...ulitaka tuoe wanaume??
Everyday is Saturday.....................😎
Kuzaliana si tungezaa tu kwa makubaliano, mbona wengi wanazaa bila kuoana..?Sababu zipo nyingi,
kwanza katika imani ni kuepusha zinaa na mlolongo wa watoto na koo zisizokua katika mpangilio lakin sio kila mwanamke anaamini katika kuolewa kidemokrasia wengi wanaamini kua mnaoana... so 50 ...50 kwao ni main goal.
Kijamii kwa baadh ya mila ndoa ni stara na heshima kwa mwanaume kua sasa anaweza kujenga ka community kake.
Sorry, umesema tunaoana na 50 by 50 ?, sijakuelewa, naomba ufafanue zaidi, maana inawezekana huwa hatuwaelewi nyinyi mnachomaanisha.Sababu zipo nyingi,
kwanza katika imani ni kuepusha zinaa na mlolongo wa watoto na koo zisizokua katika mpangilio lakin sio kila mwanamke anaamini katika kuolewa kidemokrasia wengi wanaamini kua mnaoana... so 50 ...50 kwao ni main goal.
Kijamii kwa baadh ya mila ndoa ni stara na heshima kwa mwanaume kua sasa anaweza kujenga ka community kake.
1.upate mahitaji ya kimwili kwa wote, mwanaume na mwanamkeNaomba kufahamu hasa sababu ya kuwaoa wanawake ; Yani kwa kifupi zipi ni sababu za kuishi na mwanamke iwe ni kwa kukaa nao au kuwaoa kwa harusi iwe ya kiislam kikristo au kimila na kiserikali.
Hio ni ndoa ya kidemokrasia usawa wa kufanya kila kitu nusu kwa nusuSorry, umesema tunaoana na 50 by 50 ?, sijakuelewa, naomba ufafanue zaidi, maana inawezekana huwa hatuwaelewi nyinyi mnachomaanisha.
Mbona kama hujamjibu mkuu swali lake ni pana sana mjibu kwa upana tafadhali!Hio ni ndoa ya kidemokrasia usawa wa kufanya kila kitu nusu kwa nusu
Sababu zipo nyingi,
Kwanza katika imani ni kuepusha zinaa na mlolongo wa watoto na koo zisizokua katika mpangilio lakin sio kila mwanamke anaamini katika kuolewa kidemokrasia wengi wanaamini kua mnaoana... so 50 ...50 kwao ni main goal.
Kijamii kwa baadh ya mila ndoa ni stara na heshima kwa mwanaume kua sasa anaweza kujenga ka community kake.
Nusu kwa nusu kivipi? Naomba nieleweshe. Mali, majukumu, au nini?Hio ni ndoa ya kidemokrasia usawa wa kufanya kila kitu nusu kwa nusu
Umri wako?Naomba kufahamu hasa sababu ya kuwaoa wanawake. Yani kwa kifupi zipi ni sababu za kuishi na mwanamke iwe ni kwa kukaa nao au kuwaoa kwa harusi iwe ya kiislam kikristo au kimila na kiserikali?
Naomba kufahamu hasa sababu ya kuwaoa wanawake. Yani kwa kifupi zipi ni sababu za kuishi na mwanamke iwe ni kwa kukaa nao au kuwaoa kwa harusi iwe ya kiislam kikristo au kimila na kiserikali?