At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Salaam wakuu.
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Pia hongereni kwa kuwa na mchakato huru wa Kampeni za Uchaguzi.
Kuhusiana na mada: Iko hivi, nijichukulie mfano mimi mwenyewe. Sina hakika kwa wengine ila naamini ni wengi tuko hivyo. Mfano mimi napendelea kufuatilia habari za upinzani hasa CHADEMA kuliko CCM.
Huenda sababu yaweza kuwa nataka kufahamu anguko lake! Huo ni mfano.
Sasa swali linasema Swali: Kwanini tu/napendelea kujua habari za mtu au kitu usichokipenda?
Naombeni majibu please!
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Pia hongereni kwa kuwa na mchakato huru wa Kampeni za Uchaguzi.
Kuhusiana na mada: Iko hivi, nijichukulie mfano mimi mwenyewe. Sina hakika kwa wengine ila naamini ni wengi tuko hivyo. Mfano mimi napendelea kufuatilia habari za upinzani hasa CHADEMA kuliko CCM.
Huenda sababu yaweza kuwa nataka kufahamu anguko lake! Huo ni mfano.
Sasa swali linasema Swali: Kwanini tu/napendelea kujua habari za mtu au kitu usichokipenda?
Naombeni majibu please!