Kwanini tunaibeba DP World kiasi hiki?

DP sio tatizo wala haijawahi kuwa tatizo, Tatizo ni CCM. kutoa maneno machafu kwa DP ni upimbi
 
Dubai hata uwe na hela kiasi gan huwez kupewa leseni ya kufungua biashara yoyote bila kuwa shea na mwenyeji!? Mbona mnakuwa malimbuken hivyo.

NB: Sio Dubai tu huko nje ndio wenzetu wanavyofanya

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna jibwa moja linazunguka na sofia mjema linaharisha kule public eti waarabu waje tuchanganye damu, yaani nchi ina mazuzu hii, anadai eti tuwape hadi bandari zooote za maziwa, kwakweli bongo bahatimbaya sana, karibuni tubebe boksi tu maana hakuna namna
 
"Alievujisha huu Mkataba wa Bandari ametuvua Nguo, tumeweka Ujinga wetu wote hadharani" Kabudi Clubhouse

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

☝️Misleading.

Hayo juu ni Upotoshaji wa hali ya Juu.

Hatahivyo, unawezaje kuwapatia DPW autonomous ya kutoulizwa lelote lile kwa miaka mitano? Yaani unakuja kufanya perfomance review baada ya miaka mitano?

Rudisheni Kadi wenzangu.
 
Umeeleza vizuri sana, naomba Uzi huu udumu kama reference yetu hapo badae.
 
Nauliza tu.
Huyu tajiri Musukuma mbona haendani na hali yake ya utajiri?

Anaonekana amechoka kabisa wakati bado ni kijana na hela anayo nyingi kama anavyo sema.

Tajiri anapaukaje namna hii ?

Au ni Utajiri wa Ndagu na Masharti kede kede?
Tajiri anapaukaje namna hii

Tajiri anapaukaje namna hii ?

Au ni Utajiri wa Ndagu na Masharti kede kede?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaa, mdudu, mwambulukuu na jopo lao la maaskofu wanasema maanadamanoi kama kawaida. DP World hawaitambui.


My Take: wasusie mizigo yao kushukia TPA DP World Dar Port. Washushie mizogo ya Beira na vyooni kwao, maana Mombasa ndiyo walewale.
 
Salaa, mdudu, mwambulukuu na jopo lao la maaskofu wanasema maanadamanoi kama kawaida. DP World hawaitambui.


My Take: wasusie mizigo yao kushukia TPA DP World Dar Port. Washushie mizogo ya Beira na chooni, maana Mombasa ndiyo walewale.
Masilamu hamnaga akili
 
Masilamu hamnaga akili
Tunajuwa hatyuna akili kabisa eti tunatumia maji tukienda haja. Tumeshindwa maarifa na ujanja hata na mbwa, umewahi kumuona mbwa akitumia maji baada ya kwenda haja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…