Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,305
- 33,924
Hili swali najiuliza sipati jibu. Kuna umuhimu gani wa kujishughulisha kukimbizana na muda na watu kufanya miradi ambayo Mwalimu Julius Nyerere hakuifanya enzi akiwa madarakani au kuhimiza ifanywe akiwa hai miaka 14 tangu atoke madarakani?
Kuna ulazima wowote wa kufanya kila alichotaka kufanya Mwalimu watanzania wa vizazi kadhaa baada ya yeye kufariki??
Kuna ulazima wowote wa kufanya kila alichotaka kufanya Mwalimu watanzania wa vizazi kadhaa baada ya yeye kufariki??